Ana usela mavi wa kishamba Sana kufikiri kutukana ndio ujanja. Ruge alifanya kazi ya ziada kumshape, kumpa nafasi na kumuweka hapo ulipomkuta wewe. Lkn jamaa Hana busara za kujiongoza ukimwachia rungu ni Kama umemfungia chizi kwenye nyumba ya vioo yenye mawe ndani.
Hii ni fursa nzuri kwa redio nyinginezo kuvuna masupastaa wa CMG..
Kwa hali ilivyo adam anahitaji Redio kubwa itakayouamini na kumpa mpunge mrefu..
Na cha pili apewe uhuru, yaani uhuru wa kumuamini na kumpa nafasi ya kufanya anachoweza kukifanya zaidi, yaani wampe kipindi chenye maudhui ya hiphop kama kile cha saigon, ataua sana
Sio kweliVipindi vya HipHop havina wadhamini, hakuna Media itayoruhusu kupoteza airtime kwenye kitu ambacho hakina faida.
Sio kweli
So So FreshToa mfano kipindi cha hip hop chenye wadhamin 2+ Tanzania.
Kumbeee, mbona Bi kidude aliondoka akiwa na sauti ya kigoli[emoji23]Umri
Nakubali ulichosema,, kuna kitu cha ziada Mola alimzidishia B12,, hao watangazaji woooote wa kizaz kipya huyo ni kama Icon yao,, wanafata swagga zake,, na jamaa ni mjanja mjanja longtime,, ..Twangala Twizzy The navigator himself,, B12 usimfananishe na machizi
He is King of afternoon show.
Lil ommy naye anabrag brag sana..hana ule ujanja naturalSio kwamba yeye ndio Anajua sana sema ana unyamwezi fulani hivi ilabanhi nyingi. Muhimu atafute ushindani mwingi.
Ukisema umfananishe lil Ommy na Mchovu. Mchovu sio mbunifu. Swaga zake zile zile. Kiufupi atafute changamoto zingine
Ushari huu ni mzuri endapo utamfikia ila ninaimani itamuwia vigumu sana kuchukua uamuzi kama huu kwani yeye mwenyewe anaonesha kitu kama kuridhika na si wakupambania nafasi yoyote kwakweli inauma sana kwani sote tunafahamu uwezo wa brother Adam lakini sijui yeye mwenyewe anafikiria nini embu tuone nini mwisho wa dharau hizi(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)
Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.
Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.
chagua yafuatao
a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...
au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.
Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa
View attachment 1469548
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Jamaa yupo talented lakini bange nyingi..hawezi pewa kipindi aongoze yeye,kwanza atajipigia hiphop tupu
Some people are putting money in the gravemimi nadhani kabla ya uyo Adam ushauriwe wewe kwanza ili ujaribu kufatilia mambo yanayo kuhusu .
AiseeMi Nadhan muarusha huyu og apewe ara za roho tu anaweza leta radha ya mapenz kihiphop
(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)
Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.
Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.
chagua yafuatao
a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...
au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.
Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa
View attachment 1469548
HahaNamshauri aende TBC akachukue kipindi cha kile kidingi cha Zamadam na mambo ya kanisa kila jumapili