Tumshauri kijana mwenzetu Adam Mchomvu achague A au B au C

Tumshauri kijana mwenzetu Adam Mchomvu achague A au B au C

Ana usela mavi wa kishamba Sana kufikiri kutukana ndio ujanja. Ruge alifanya kazi ya ziada kumshape, kumpa nafasi na kumuweka hapo ulipomkuta wewe. Lkn jamaa Hana busara za kujiongoza ukimwachia rungu ni Kama umemfungia chizi kwenye nyumba ya vioo yenye mawe ndani.

Mbona So So Fresh anaiendesha vizuri?
 
Hii ni fursa nzuri kwa redio nyinginezo kuvuna masupastaa wa CMG..

Kwa hali ilivyo adam anahitaji Redio kubwa itakayouamini na kumpa mpunge mrefu..

Na cha pili apewe uhuru, yaani uhuru wa kumuamini na kumpa nafasi ya kufanya anachoweza kukifanya zaidi, yaani wampe kipindi chenye maudhui ya hiphop kama kile cha saigon, ataua sana

Vipindi vya HipHop havina wadhamini, hakuna Media itayoruhusu kupoteza airtime kwenye kitu ambacho hakina faida.
 
Sio kwamba yeye ndio Anajua sana sema ana unyamwezi fulani hivi ilabanhi nyingi. Muhimu atafute ushindani mwingi.
Ukisema umfananishe lil Ommy na Mchovu. Mchovu sio mbunifu. Swaga zake zile zile. Kiufupi atafute changamoto zingine
 
Twangala Twizzy The navigator himself,, B12 usimfananishe na machizi

He is King of afternoon show.
 
Twangala Twizzy The navigator himself,, B12 usimfananishe na machizi

He is King of afternoon show.
Nakubali ulichosema,, kuna kitu cha ziada Mola alimzidishia B12,, hao watangazaji woooote wa kizaz kipya huyo ni kama Icon yao,, wanafata swagga zake,, na jamaa ni mjanja mjanja longtime,, ..

Jamaa afungue tu Radio yake [emoji23]

Kuna mtu atahoji mtaji atapata wapi![emoji23][emoji86]

Chini ya jua kila kitu kinawezekana isipokuwa kifo tu,
 
(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)


Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.

Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.

chagua yafuatao

a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...

au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.

Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa


View attachment 1469548
Ushari huu ni mzuri endapo utamfikia ila ninaimani itamuwia vigumu sana kuchukua uamuzi kama huu kwani yeye mwenyewe anaonesha kitu kama kuridhika na si wakupambania nafasi yoyote kwakweli inauma sana kwani sote tunafahamu uwezo wa brother Adam lakini sijui yeye mwenyewe anafikiria nini embu tuone nini mwisho wa dharau hizi
 
Adam ni mtangazaji wa entertainment ambaye nimekuwa nikimkubali kwa muda mrefu, ukimsikiliza ni lazima ufurahi hata kama ulikuwa na huzuni, tatizo lake ni kwamba hajawahi kuwa serious[emoji3][emoji3], yeye ni mtu wa masihara muda wote kiukweli anahitaji speed governor, hawezi kujiendesha mwenyewe. Yaani yule ni mfano wa wahuni ambao wamekuwa wapiga story wazuri kijiweni ukaamua kumpiga msasa kidogo wa shule then umuambie atangaze kwenye chombo cha habari what do u expect? Yaani kale kabangi hakawezi kuisha, sema ndo kinachonifanya nimpende kuliko wengine kwenye hicho kipindi, yuko real[emoji3][emoji3][emoji3]
 
(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)


Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.

Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.

chagua yafuatao

a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...

au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.

Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa


View attachment 1469548

adam na kennedy nani analipwa mshahara mkubwa?
 
Back
Top Bottom