Tumshauri na kumsaidia anateseka sana kwenye familia yake

Tumshauri na kumsaidia anateseka sana kwenye familia yake

Mao ze dong

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
941
Reaction score
1,012
Mimi ni Dada wa miaka 32 niliolewa nikiwa na umri wa miaka 19 nimeishi na uyu mwanaume zaidi ya miaka 10 na tumefanikiwa kuwa na watoto watatu.

Tatizo ni siku za karibuni amekua hanijali, hulala nje nikiuliza ni kipigo, anakunywa pombe sana akirudi nikipigo, nikifanya jambo dogo nikipigo tu. Kiukweli inaniumiza kisaikolojia na ninaitaji kulea wanangu.

Tumefanikiwa kujenga na ningependa kupata msaada wa kisheria, nimchukulie hatua gani kisheria ukizingatia hatuna ndoa ya kamisani au kimila ila tulikua tunataraji kufunga.


Naomba msaada wako wa kisheria na mawazo. Asante
 
Mimi ni Dada wa miaka 32 niliolewa nikiwa na umri wa miaka 19 nimeishi na uyu mwanaume zaidi ya miaka 10 na tumefanikiwa kuwa na watoto watatu.

Tatizo ni siku za karibuni amekua hanijali, hulala nje nikiuliza ni kipigo, anakunywa pombe sana akirudi nikipigo, nikifanya jambo dogo nikipigo tu. Kiukweli inaniumiza kisaikolojia na ninaitaji kulea wanangu.

Tumefanikiwa kujenga na ningependa kupata msaada wa kisheria, nimchukulie hatua gani kisheria ukizingatia hatuna ndoa ya kamisani au kimila ila tulikua tunataraji kufunga.


Naomba msaada wako wa kisheria na mawazo. Asante


Ushauri wangu utazngatia haya yafuatayo...

1. Je umekaa nae chini kipindi hajatumia kilevi na kuzungumza nae juu ya tabia yake kubadilika!?
2. Je bado mnakutana kimwili.!? Kama ni ndio, kwa nn mda wa tendo usiutumie kuelezea hisia zako na kmwambia abadilike
3. Wazazi wenu si wanajua kuwa mnaishi kindoa..!? Hebu jaribu kuwaeleza tatizo uone usuluhishi wao utaleta impact gani ktk mahusiano yako na mwanaume.
4. Je ww ni independent au dependant!? Kama ww ni independent basi nakushauri ignore the fool na fanya yako for your childrens sake, ww mmeo akija nyumbani be cool and pretend nothing is wrong. Find something to keep you distracted kama kusaidia watoto homework au usafi wa ndani. Anza kjibana ujiestablish kimaisha ili akizingua unasepa unaenda kwako. Kama ww ni dependant basi vumilia tuu maana ukijaribu na ww kupanda juu nyumba itakuwa moto kwako na watoto.

Think carefully on the matter na pia jua kwamba mahakama itakuletea complication ktk social life na in the future utapata sintofahamu on the reaction of ur kids juu ya ww na baba yao kuburuzana mahakamani.
 
Ushauri wangu utazngatia haya yafuatayo...

1. Je umekaa nae chini kipindi hajatumia kilevi na kuzungumza nae juu ya tabia yake kubadilika!?
2. Je bado mnakutana kimwili.!? Kama ni ndio, kwa nn mda wa tendo usiutumie kuelezea hisia zako na kmwambia abadilike
3. Wazazi wenu si wanajua kuwa mnaishi kindoa..!? Hebu jaribu kuwaeleza tatizo uone usuluhishi wao utaleta impact gani ktk mahusiano yako na mwanaume.
4. Je ww ni independent au dependant!? Kama ww ni independent basi nakushauri ignore the fool na fanya yako for your childrens sake, ww mmeo akija nyumbani be cool and pretend nothing is wrong. Find something to keep you distracted kama kusaidia watoto homework au usafi wa ndani. Anza kjibana ujiestablish kimaisha ili akizingua unasepa unaenda kwako. Kama ww ni dependant basi vumilia tuu maana ukijaribu na ww kupanda juu nyumba itakuwa moto kwako na watoto.

Think carefully on the matter na pia jua kwamba mahakama itakuletea complication ktk social life na in the future utapata sintofahamu on the reaction of ur kids juu ya ww na baba yao kuburuzana mahakamani.

Asante kwa ushauri.

1. Mimi nafanya kaz ya duka in kipato ni kidogo segem kubwa anafanya yeye.
2 .kimwili tunakutana Mara chache na nazungumza nae lakini wapi.
3. Usuluhisho wa kifamilia umefanyika said ya Mara 4 bila mafanikio.
4. Najaribu Ku ignore mengi tu na kukaa kimya ila naambiwa ni dharau na kupigwa.

Mbaya zaidi napigwa mbele ya watoto na ndugu yangu tunayeish nae.

Kiukweli imefika wakat nataka kueshimiwa kama mke na pia nipate haki zangu.
 
Ndugu yangu naomba nikushauri kitu, ukiendelea kukaa hapo huku unapokea vipigo kila siku haifai na wanawake tumekuwa na tabia ya kushauriana kuwa usiondoke hadi upate haki yako, mwisho wa kutafuta hiyo haki yako ni kipigo kitakatifu na hatimaye umauti, sasa naomba uondoke hapo nyumbani nenda kaanze maisha yako hata ya kupanga pia inawezekana, haki yako utaitafuta ukiwa nje ya hapo na unaweza kuipata tu. Mwenyezi mungu ni mtenda haki na hasa ukiwa katika haki yako. Jamani wanawake wenzangu mali inatafutwa ila uhai kamwe hautafutwi. Tuache ujinga kabisa.
 
Mimi ni Dada wa miaka 32 niliolewa nikiwa na umri wa miaka 19 nimeishi na uyu mwanaume zaidi ya miaka 10 na tumefanikiwa kuwa na watoto watatu.

Tatizo ni siku za karibuni amekua hanijali, hulala nje nikiuliza ni kipigo, anakunywa pombe sana akirudi nikipigo, nikifanya jambo dogo nikipigo tu. Kiukweli inaniumiza kisaikolojia na ninaitaji kulea wanangu.

Tumefanikiwa kujenga na ningependa kupata msaada wa kisheria, nimchukulie hatua gani kisheria ukizingatia hatuna ndoa ya kamisani au kimila ila tulikua tunataraji kufunga.


Naomba msaada wako wa kisheria na mawazo. Asante

Nafahamu ni kweli unaumia sana kiakili. Zingatia haya
(1) Epuka kufanya nae tendo la ndoa kwani unaweza kukuambukiza hata magojwa gumegume.
(2) Tafuta chumba chako na uondoke na watoto,akiwafuata mwachie lkn kama umri ni mdogo katoe taarifa kwa uongozi wa mtaa
(3) Ukiona anakufuatilia tafadhari sana toroka na uende kwa ndugu kipindi hiki cha masika kajishughulishe na kilimo ili upate mtaji.
(4) Kama mazigira ni magumu kwa ndugu zako njoo ufanye kazi ya hotel huku maeneo ya machimboni KAHAMA ila ujiepushe na umalaya maana huku ngoma ishakuwa kama malaria tu.
(5) Ni pm nikupe akili nyingine ya ziada
NB: Usichezee afya yako kwa kigezo eti umezaa nae kumbuka hakuna duka linalouza uhai au spare ya moyo.
 
Akufukuzae hakwambii toka. Mambo ya watoto yatakuja baadae. Bora uwe mbali nao ukiwa mzima kuliko uendelee kukaa wakawa wakiwa soon
 
Ni vyema kuamua uende kwny vituo vya haki za binadam ama ofisi za ustawi wa jamii, ila pokea mawazo na fikiria mwnyw!!!
 
Rafiki Mao ze dong Ikiwa huyo ndugu ameharibikia mkiwa kwenye ndoa Bcarefully....Huenda ikwa ni Spiritual..problem kuna kitu kinaitwa Take away sijui Imani yako lkn ishu kama hizo ukiwekeza kwenye vikao vya ndgu hesabu maumivi...kama nilivyosema sijui Imani yako nina Audio ya mahubiri inaitwa Ijue NAFSI yako ningejua namna yakuiUplod ningekurushia naamini Ingekusaidia sana Nakushauri achana na Vikao vya Familia utapoteza Ndoa
 
Last edited by a moderator:
Nenda ustawi wa jamii

Ukiendelea na maisha hayo atakufanyia kitu kibaya na wanao ndio watateseka zaidi.

Bora umejiwahi kutambua hayo sasa.

Hayo ni mateso
 
Back
Top Bottom