Kwa kweli jambo hili huwa linanikera sana. Halina maana yoyoteBongo tunapenda sana kuridhishana. Hapa inatafutwa kila dhehebu lilidhike. RC walidhike, Walokole na waislam pia. Ni upuuzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli jambo hili huwa linanikera sana. Halina maana yoyoteBongo tunapenda sana kuridhishana. Hapa inatafutwa kila dhehebu lilidhike. RC walidhike, Walokole na waislam pia. Ni upuuzi tu
Hapo sasa ukute ni kikao cha serikali, inabidi kwanza utaje viongozi wote waliopo hapo mmoja mmoja.Kwa kweli jambo hili huwa linanikera sana. Halina maana yoyote
Ni hio hio tuBWANA YESU ATUKUZWE
Salamu ya Kanisa la KUHANI MUSA RICHARD MWACHA
Wasisahau hilo.
Yenu ni hamjambo mabibi na mabwanaKwa hiyo kama mimi sio Mkatoliki wala Mlokole nimeachwa kwenye hii salamu... Unaona hilo ni sawa ?
Ulifunzwa ujinga achana nao... tofauti za kiimani haziondoi ubinadamu wako au kuongeza au kupunguza thamani ya utu.Iyo assalamualaikum inahusikaje apo na salami hii ya kiislam sharti uwe uislam ndo uweze kutoa kwa waumini wa kiislam na ikitokea mkristo akitoa salamu iyo kwa muislam basi hautakiwi kuitikia kama wanavoitikia waislamu na unatapaswa umjibu neno salamu.muislam hatakiwi kumsalimia mkristo assalamualaikum ni haramu Hadi ataposilim kua muislam ndo utamsalimia assalamualaikum. [emoji1672][emoji1672]Iyo ndo elimu niliyopewa madrasa
Iyo assalamualaikum inahusikaje apo na salami hii ya kiislam sharti uwe uislam ndo uweze kutoa kwa waumini wa kiislam na ikitokea mkristo akitoa salamu iyo kwa muislam basi hautakiwi kuitikia kama wanavoitikia waislamu na unatapaswa umjibu neno salamu.muislam hatakiwi kumsalimia mkristo assalamualaikum ni haramu Hadi ataposilim kua muislam ndo utamsalimia assalamualaikum. [emoji1672][emoji1672]Iyo ndo elimu niliyopewa madrasa
Tatizo element za udini mioyoni mwa watu.... Hii inawafanya watu watafute namna ya kuvuta usikivu/kukubalika toka dini/dhehebu lisilo lake.Kwenye majukwaa ya hadhara utasikia Bwana Yesu Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo
Tofauti hapo ni nini ?
Au utasikia "Asalam Aleikum, Bwana Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo.
Zinatumika salamu za dini zote mbili ili kuleta balance, sasa kwa nini za Wakristo ziwe mbili? Na mbili zenyewe ni kitu kile kile , hatuoni kama matumizi haya ya salamu hizi ni kituko, ridiculous ?