Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, what's the difference?

Sisi wasukuma tunatamkwa.
Asaalama lekwaaa.
Amani ya Bwana iwe nanyi.
 
Ulifunzwa ujinga achana nao... tofauti za kiimani haziondoi ubinadamu wako au kuongeza au kupunguza thamani ya utu.
 

Kwani Assalam Alaikum ni kiislamu au kiarabu?
 
Tatizo element za udini mioyoni mwa watu.... Hii inawafanya watu watafute namna ya kuvuta usikivu/kukubalika toka dini/dhehebu lisilo lake.

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…