Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.
Mnafiki weweNaunga mkono hoja.
P
Pole na mkeka wa DEDNaunga mkono hoja.
P
Tanzania hakuna jeshi la polisi, kuna kikundi cha wakamata bangi, bodaboda na wanaopambana na chadema.Wacha wao wawatangulize polisi, sisi tumtangulize Mungu.
Hata kama siufukuzii u DED, lakini kwa vile napitia kipindi kigumu cha hali ngumu sana ya ugumu wa maisha, kutokana na hali ya mdodoro wa uchumi due to covid 19, nimepigika sana hivyo niwe mstaarabu kwa kupokea pole yako, nasema asante.Pole na mkeka wa DED
Pascal wewe ulikuwa upande wa kukemea uvunjaji wa katika, sheria na haki za binadamu. All of a suden ukageuka na kuwa upande wa watesi following suit to those defectors who joined forces with CCM wakitafuta uteuzi. Basi logical conclusion ikawa kuwa mtu kama wewe mpiganaji wa haki za binadamu, ghafla unabadilika na kujiunga na WATESI WA UMMA, basi kuna kitu unatafuta maana mkono mpu haulambwi.... Looking for favour from the rulers!Hata kama siufukuzii u DED, lakini kwa vile napitia kipindi kigumu cha hali ngumu sana ya ugumu wa maisha, kutokana na hali ya mdodoro wa uchumi due to covid 19, nimepigika sana hivyo niwe mstaarabu kwa kupokea pole yako, nasema asante.
Msimamo wangu kuhusu teuzi, kama nilikuwa nalipa mshahara wa DC , mtu kama mimi sio mtu wa kuhitaji teuzi, bali kujengewa tuu mazingira kama enzi za JK, tumsaidie Mama Samia, kuchangia mishahara ya ma DC wake kadhaa!.
P