Tambueni binadamu tumepewa sehemu ndogo Sana'a ya akili,maarifa na kufikiri!
Lakin endapo tutatoka katika ulimwengu huu!
Ndipo tutaweza kuelewa na kujua baadhi ya mambo ambayo kabla (tupo dunian) hatukuwah yajua!
Mtindo kaz wa ubongo wetu
Sometimes ufikir vitu ambavyo haviwez Ku exist katika ulimwengu huu(mambo ambayo hayapo dunian)so tunapokuwa tunayafikir na kwa kuwa akili zetu haziwez elewa(coz hazina uwezo/haziwez fikir mambo ambayo yapo mbal na ulimwengu huu)
Ndipo huwa tunakuja na majibu kinzani.
Huyu atasema HIV na mwingine vile coz ya kila MTU atatazama kwa mtazamo wake(akili,utashi na ufahaamu)wake utakavyomtuma!!!