Wengi wetu tulikuwa tunamchukulia
Kiranga kama mtu asiyependa dini lakini kupitia mjadala aliourudisha juzi
Deadbody na badae mods wakafanya yao kuunga na thread ya
RGforever nimeweza kuelewa kumbe mkuu
Kiranga ule mtazamo wake juu ya dini upo upande gani. Kama alivosema yeye ni
libertan basi nampongezi kuuona mwanga-nusu ingawa nasikitika hajaweza kujua Mungu anayeona ni blasiphemy yawezekana akawa anamuona katika views/mtazamo tofauti.
Nachokushauri mkuu
Kiranga pitia na mada ya
theism katika muda wako uweze jua au tuweze eleweshana huyu Mungu katika view ingine isiyohusisha
sadaka😉. Mimi ni Muumini katika mfumo wa
Deism sababu niiliona/nilifatilia mantiki yake. statement yako imenifikirisha sana na tukitumia concept ya
logical reassoning nachelea sema (ingawa siruhusiwi hukumu),
Kiranga umeutumia ubongo wako vizuri; you gotta seat in Heaven.
- wick
Mods msihamishe, huu sio uzi wa dini shubaaamit!!!!...