Tumuombee dua Prof. Janabi aishi maisha marefu, kinyume chake mafundisho yake yatapuuzwa, Taifa litaangamia kwa vitambi

Tumuombee dua Prof. Janabi aishi maisha marefu, kinyume chake mafundisho yake yatapuuzwa, Taifa litaangamia kwa vitambi

Mimi binafsi Sijawahi kuelewa mafundisho ya Prof Janabi,ni kama hataki tufe au hataki tufurahie maisha.

Yaani mtu eti Marufuku kula milo mitatu mara usile nyama nyekundu,juice,chaoati nk

Sasa ili mafundisho yake yakubalike tumuombee kwa Mungu atoboe miaka 90+ kinyume chake mimi na vichwa ngumu wenzangu tutaanza kula supu chapati saba kila siku tukishushia juice,soda ,maana tutajua alikuwa anatudanganya

Live longer Prof
Mkuu umefanya utafiti au unesikia kutoka kwa watu?
 
Ila yule mzee ukiomuona tu anaonekana afya yake mgogoro
 
Mimi binafsi Sijawahi kuelewa mafundisho ya Prof Janabi,ni kama hataki tufe au hataki tufurahie maisha.

Yaani mtu eti Marufuku kula milo mitatu mara usile nyama nyekundu,juice,chaoati nk

Sasa ili mafundisho yake yakubalike tumuombee kwa Mungu atoboe miaka 90+ kinyume chake mimi na vichwa ngumu wenzangu tutaanza kula supu chapati saba kila siku tukishushia juice,soda ,maana tutajua alikuwa anatudanganya

Live longer Prof
Kula nyama yoyote Ila ustumie mafuta zaidi ya mafuta ya nyama yenyewe

Kula uwezavyo kwa maana duniani tuna pita na hauta kula Tena uendako

Hata ukiishi sikunyinhi vipi lakini elewa utakufa tu haijalishi utawai au utachelewa Ila utakufa

Acha kula vyakula vya kusindikwa Kama nyama za kopo, sausage,nk

Utafrahia uimara wa afya yako
 
Prof. Mpumbavu
Kila kitu anakataza.
Kama vitu vizuri vyote ni sumu nini maana ya dunia?
Hakuna chakula kinachoua mtu, Mungu hajamuumba mtu kwa udhaifu kiasi hicho.
Dhambi ndio inaua premature na si chakula
 
Back
Top Bottom