Tumuombee Faiza Ally, mzazi mwenza wa Sugu, ana maumivu makali sana

Tumuombee Faiza Ally, mzazi mwenza wa Sugu, ana maumivu makali sana

Ha ha haahaa...

Huyu alikuwa high...si bure.

Pumbavu zake
 
Sidhani kama huyu dada ni attention seeker, kazungumza yaliyoujaza moyo wake, namuombea kwa Mungu avuke salama, kila la kheri Faiza.
 
Huu sasa ndo muda baharia The only wa kumpata mtoto nikajivinjari ,maisha matamu sana
 
Usinene ukamara[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Siku ya jana ilikuwa ni furaha kuu kwa Mhe Sugu baada ya kufunga ndoa takatifu huko Mbeya, lakini upande wa pili wa X wake Faiza Ally ni kilio
View attachment 1194747

View attachment 1194762
View attachment 1194763
mpuuzi tuu alikua anafanya mambo ya kipumbavu sasa anaye mlilia nani ...stupid ssa jamaa aliyezaa nat\ye sijui yuko katika hali gani maana unaona mtu uliyempenda sijui niseme hivo au uko naye kwenye mahusiano analimlilia jamaa aliyekuwepo kabla yako ...hawa single mothers hawa ndo walivo anakudanganya danganya kumbe mme wake wa kwanza ndo anamkumbuka kila siku vijana tuwe macho
 
Back
Top Bottom