Tumuombee Leejay49, leo anaingia chumba cha upasuaji kwaajili ya jicho na sikio

Tumuombee Leejay49, leo anaingia chumba cha upasuaji kwaajili ya jicho na sikio

Good morning wakuu.

Natumaini tumeamka salama. Naomba kwa kila mmoja vile anavyoweza kumuombea, dada etu Leejay49 leo anaingia chumba cha upasuaji, kwaajili ya jicho na sikio.

Usiku nimemtafakari sana huyu binti, ana roho ya kipekee sana. Akiwa anapitia changamoto za kiafya, ila akaanzisha hili la vocha na kufurahi na wengine. Hii ni zaidi ya moyo wa kawaida tulionao sisi.

Ana moyo mzuri na najua Mwenyezi Mungu, ataangalia mengi mazuri kwake, na hili litapita. Tumuombee atoke uoga, awe na imani kubwa na ujasiri. Mwenyezi Mungu akamfanyie wepesi, arudi tena hapa, tufurahi naye. Tunakupenda sana. Leejay49 ❤️.

Mbaga Jr
Vincenzo Jr
Bantu Lady
Leejay49
Etugrul Bey
Huna baya tajiri
Mwachiluwi
Foffana
Madame B
King Rabbit
Sisyphus
Kapeace
Mshana Jr
Tajiri Leejay49 mungu atamsaidia na atapona inshallah
 
Good morning wakuu.

Natumaini tumeamka salama. Naomba kwa kila mmoja vile anavyoweza kumuombea, dada etu Leejay49 leo anaingia chumba cha upasuaji, kwaajili ya jicho na sikio.

Usiku nimemtafakari sana huyu binti, ana roho ya kipekee sana. Akiwa anapitia changamoto za kiafya, ila akaanzisha hili la vocha na kufurahi na wengine. Hii ni zaidi ya moyo wa kawaida tulionao sisi.

Ana moyo mzuri na najua Mwenyezi Mungu, ataangalia mengi mazuri kwake, na hili litapita. Tumuombee atoke uoga, awe na imani kubwa na ujasiri. Mwenyezi Mungu akamfanyie wepesi, arudi tena hapa, tufurahi naye. Tunakupenda sana. Leejay49 ❤️.

Mbaga Jr
Vincenzo Jr
Bantu Lady
Leejay49
Etugrul Bey
Huna baya tajiri
Mwachiluwi
Foffana
Madame B
King Rabbit
Sisyphus
Kapeace
Mshana Jr
MKUU toa na location, hata hospital tunaweza kufika. Hujui tu humu kuna watu wa aina gani
 
Good morning wakuu.

Natumaini tumeamka salama. Naomba kwa kila mmoja vile anavyoweza kumuombea, dada etu Leejay49 leo anaingia chumba cha upasuaji, kwaajili ya jicho na sikio.

Usiku nimemtafakari sana huyu binti, ana roho ya kipekee sana. Akiwa anapitia changamoto za kiafya, ila akaanzisha hili la vocha na kufurahi na wengine. Hii ni zaidi ya moyo wa kawaida tulionao sisi.

Ana moyo mzuri na najua Mwenyezi Mungu, ataangalia mengi mazuri kwake, na hili litapita. Tumuombee atoke uoga, awe na imani kubwa na ujasiri. Mwenyezi Mungu akamfanyie wepesi, arudi tena hapa, tufurahi naye. Tunakupenda sana. Leejay49 ❤️.

Mbaga Jr
Vincenzo Jr
Bantu Lady
Leejay49
Etugrul Bey
Huna baya tajiri
Mwachiluwi
Foffana
Madame B
King Rabbit
Sisyphus
Kapeace
Mshana Jr
Sio kwa ubaya. Ila napoona mtu anakuwa tagged kwenye issue kama hizi (charity) halafu jina langu lisiwepo najisikia vibaya sana.


Swali nalojiuliza ni "nini jamii yangu inajivunia kuhusu uwepo wangu?."

Brother Mshana Jr Mungu akupe maisha marefu, nina deni kubwa sana kwa jamii kupitia niliyojifunza kwako. Ipo siku wema wako kwa wengine utarudi tena kwako.
 
Back
Top Bottom