Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mdude Nyagali ambaye ni Mkulima duni wa Jembe la Mkono kutoka Mlowo Mbozi , ameingia kwenye vitabu vya maajabu ya dunia kwa kushitakiwa kwa makosa mazito ya kusafirisha madawa ya Kulevya kutokea Pakistan kuja Tanzania na kuyasambaza bila kuwa na hati ya kusafiria (PASSPORT).
Bado tunaendelea kuchunguza namna binadamu asiye na mabawa na ambaye hakuwahi hata kupanda ndege alivyoweza kufika Pakistan na kubeba Madawa ya kulevya kisha kuyaleta shamba Mlowo ili kuyasambaza. Tunaamini Mahakama italeta ufafanuzi kwenye hilo.
Bali sisi tunaomfahamu Mdude kama mkosoaji mkubwa wa Serikali ya awamu ya 5 tunajua Mdude alitengenezewa kesi hiyo ya uongo ili kumkomesha kutokana na kuikosoa serikali , Ila tunaendelea kumuombea kwa Mungu ambaye ndio Mamlaka Kuu amsaidie na kumuachanisha na kuta za Magereza. Amina.
UPDATES :
=========
UPDATES 2 :
==========
MDUDE NYAGALI AACHIWA HURU
Bado tunaendelea kuchunguza namna binadamu asiye na mabawa na ambaye hakuwahi hata kupanda ndege alivyoweza kufika Pakistan na kubeba Madawa ya kulevya kisha kuyaleta shamba Mlowo ili kuyasambaza. Tunaamini Mahakama italeta ufafanuzi kwenye hilo.
Bali sisi tunaomfahamu Mdude kama mkosoaji mkubwa wa Serikali ya awamu ya 5 tunajua Mdude alitengenezewa kesi hiyo ya uongo ili kumkomesha kutokana na kuikosoa serikali , Ila tunaendelea kumuombea kwa Mungu ambaye ndio Mamlaka Kuu amsaidie na kumuachanisha na kuta za Magereza. Amina.
UPDATES :
=========
UPDATES 2 :
==========
MDUDE NYAGALI AACHIWA HURU