Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhalifu alimbaka ma yako?Tuache kuombea familia zetu, tuombee wahalifu?
Wewe subiri mahakama ifanye kazi yake, acha munkari wa kichadema!
Akifungwa sijui utasema samia ni dikteta?
Hamjielewi kabisa!
Mbona unanistua Roho,lete habari kamili tuserebukeMdude Nyagali ambaye ni Mkulima duni wa Jembe la Mkono kutoka Mlowo Mbozi , ameingia kwenye vitabu vya maajabu ya dunia kwa kushitakiwa kwa makosa mazito ya kusafirisha madawa ya Kulevya kutokea Pakistan kuja Tanzania na kuyasambaza bila kuwa na hati ya kusafiria (PASSPORT).
Bado tunaendelea kuchunguza namna binadamu asiye na mabawa na ambaye hakuwahi hata kupanda ndege alivyoweza kufika Pakistan na kubeba Madawa ya kulevya kisha kuyaleta shamba Mlowo ili kuyasambaza. Tunaamini Mahakama italeta ufafanuzi kwenye hilo.
Bali sisi tunaomfahamu Mdude kama mkosoaji mkubwa wa Serikali ya awamu ya 5 tunajua Mdude alitengenezewa kesi hiyo ya uongo ili kumkomesha kutokana na kuikosoa serikali , Ila tunaendelea kumuombea kwa Mungu ambaye ndio Mamlaka Kuu amsaidie na kumuachanisha na kuta za Magereza. Amina.
View attachment 1832543
UPDATES :
=========
View attachment 1833258View attachment 1833198
View attachment 1833259
UPDATES 2 :
==========
MDUDE NYAGALI AACHIWA HURU
Ameachiwa huru kanywe sumu umfuate mumeo jiweWamfunge miaka si chini ya 20
Tupo nae mtaani sasaMbona unanistua Roho,lete habari kamili tuserebuke
AAAAAAHHHHHHH Kumbe kweli hakika Mungu ni mwema sana!! Utukufu na ukuu ni Mungu.Mbona unanistua Roho,lete habari kamili tuserebuke
Aksante Mungu!!Tupo nae mtaani sasa
Haina shida bora utawala wa jiwe umekufa wacha mama atawaleMafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta