Umecheki youtube au kwenye TV?Yooh nigger u just sound truely nimetoka kumcheki mchizi Enews ya EATV dakika 2 zilizopita,the guy ni kweli hayuko normal aseee haeleweki anachoongea anajaribu kubuy furaha but usoni unaona kabisa he z just missing something/somebody.God help my ninja from salasala!
Bill Naz anaendesha Toyota Potre kama ndo ametusua hivyo basi G'zilla kazi anayoKitu kikubwa kinachomtesa Godzilla ni Bill Naz.
Godzilla alimlalamikia sana Bill Naz anakopi style yake ya uimbaji.
Anaumia kuona Mtu anaemkopi ametusua maisha kuliko yeye alianza Game kitambo.
Hii imempa stress sana mpaka anatumia vitu vya kumchanganya akili.
Godzilla kawa sio yule wa zamani. Smart na akitoa ngoma lazima ikamate.
Interview ya Xxl- Cloudsfm alibolonga sana.
Usela usio na mpango katika mapenzi ulimzidi..replacement hilo halipingiki sema dizaini Deeandy alikuwa anamzimia jamaa, ila kuna sehemu tu atakuwa alikoroga
sasa kama Bill Nas ame mcopy yeye mbona yeye amemcopy 50 cent na 50 hajawa stressed, anajichanganya mwenyewe,Kitu kikubwa kinachomtesa Godzilla ni Bill Naz.
Godzilla alimlalamikia sana Bill Naz anakopi style yake ya uimbaji.
Anaumia kuona Mtu anaemkopi ametusua maisha kuliko yeye alianza Game kitambo.
Hii imempa stress sana mpaka anatumia vitu vya kumchanganya akili.
Godzilla kawa sio yule wa zamani. Smart na akitoa ngoma lazima ikamate.
Interview ya Xxl- Cloudsfm alibolonga sana.
Daaahhh Imebaki story, sema Deeandy alikuwa anamuelewa sana mnyamwezi three years of relationship Dada wa watu alikuwa anasimulia, alikuja ku expose mwaka wa pili kwao kuwa yuko kwenye mahusiano na jamaa
[emoji2] [emoji2] hahahahBill Naz anaendesha Toyota Potre kama ndo ametusua hivyo basi G'zilla kazi anayo