Tumuombee Msamaha Godzilla

Tumuombee Msamaha Godzilla

Pamoja na kuwa verified huko twitter lakin bado anakosa furaha?
HAHAHAHA Verification hata ww ukiamua unaipata.. tenga muda jaza form yao ya maombi wataipitia then ukifanikiwa unakuwa verified
Twitter anagombana na Wakazi mara Mwana Fa, Dada mkubwa wa Nyoma Choma nadhani atamfanyia counselling
 
Ni muda sasa Godzilla tangu aachane na Mpenzi wake Doreen Andrew ""Deeandy amekuwa mtu mwenye frastruation na hayuko kama alivokuwa zamani.
Zilla amekuwa wakueleza matatizo ya familia yao kwenye mitandao ya kijamii.
Zilla utendaji wake wa kazi umeshuka sio kama alivokuwa hapo awali.
Zilla amekuwa mtu wa kuanzishiana noma kwenye mtandao wa kijamii.. kuna siku alileteana noma hadi na Mwana Fa kule twitter ila Mwana Fa akatumia ukubwa wake nakuepusha maneno.
Kwa sasa naona kawa hata kwenye Interview akiitwa uzungumzaji wake ni kama mtu amabae hajiamini na hana imani na anachokifanya, mfano ni Interview ya XXL alivokuwa anatambulisha wimbo wake na Gnako-Kila wakati.

Sasa my take tumnusuru huyu Msanii wetu, kaka yetu, mdogo wetu. kama ni mapenzi please please Deeandy alisha Move on, pia Deeandy msamehee huyu bwana kama kosa lilikuwa lake msamee uokoe career yake, pia utamuokoa asije akaenda mbali zaidi akatumia madawa.

Ahsante.
Sasa kama wewe mshenga umekwama sisi tutaanzia wapi?
 
Kwel mapenz noma hata yule anaejiita simba juzi alipuyanga kisa love
 
Kwel mapenz noma hata yule anaejiita simba juzi alipuyanga kisa love
 
...juzi kati nliskiza interview yao Times Fm yeye na Wakazi
..dah,dogo hasomeki kabisa na,
.anachekacheka tu ka choko!
 
hahahahaha nyie pipo mnajua kumchokoza godzilla. yani posts za humu zinakera sana
 
Daaahhh Imebaki story, sema Deeandy alikuwa anamuelewa sana mnyamwezi three years of relationship Dada wa watu alikuwa anasimulia, alikuja ku expose mwaka wa pili kwao kuwa yuko kwenye mahusiano na jamaa
"Nigga don't be Mad Man" hahahahhh
ana taaluma gani hapa mjini huyo binti
 
Zilla amedata sana huyo jamaa .Kwenye interview Times FM alikuwa amelewa kabisa. Halafu ana ubwege wa kung'ang'ania lugha za watu. Anaongea kiingereza wakati Wakazi aliyekaa US miaka 10 anaongea kiswahili.
 
Back
Top Bottom