Watu wana moyo kwa hiyo afya ya mr. Nice hapo bado mtu anajipeleka tu duuhhapa yupo na mr nice kazi kweli kweli
Ilikuwaje akaitwa jini kabula?Habarini....Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika
Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu
Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa
Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nae mbona anaiga sauti ya Mohamed Ally wa Jicho pevu....ubunifu ziro.
Al maarufu huwa hawana rafiki wa ukweli. Ukiwa na shida ndipo utashangaa wale wote waliokuwa wanakushobokea wako wapi... Hutoamini macho yako kujiona umebaki alone.
sawa sawa alishawahi kuishi na mr.nice Makongo juu....akaolewa tena na Bushoke South AfricaKuna kipindi iliripotiwa ana hang out na Mr Nice,ni miaka mingi kidogo
May Allah bless Me and You
Nashukuru,kumbe kumbukumbu zimejaa hapasawa sawa alishawahi kuishi na mr.nice Makongo juu....akaolewa tena na Bushoke South Africa
Mshana na wewe unafanya tu mambo yawe magumu.... kwanza hilo jina limetokea tu by chance na jamii wakakubaliana kwamba litawakilisha kiumbe fulani chenye nguvu ya ajabu ajabu lakini kimsingi hilo ni jina tu kama ilivyo kiti, sufuria, mbuzi au pilau...... swali, hivi leo mtu akijiita chanuo na yeye ataanza kubehave kama chanuo?
Huyu ni chizi apelekwe Mirembe ukweli ndio huo hii ya Kuombewa na tiba zingine m badala zianze baada ya kutoka Mirembe, anavyocheleweshwa kwenda Mirembe ndio matibabu yatakavyokuwa magumu kwake yaani atachelewa kuruhusiwa, ushauri wangu huoHabarini....Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika
Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu
Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa
Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wachache sana watakao kuelewa. Huyu tayari ni binadamu anayeishi na nafsi ya jini.
Pole zake. Kwa vile ni al-maarufu wapo wataalamu watajitokeza kumpatia tiba muafaka
Ongopa sana kwenda club na makundi ya watu wasiojielewa... Unapigishwa pombe iliyo mix'wa na unga ufahamu unakutoka... Unajikuta unafanya maamuzi yaliyo nje ya uwezo wako.... Hawa bongomovie wanafanya starehe nyingi sana sisizo na maana, wanaishia kuumiaWatu wana moyo kwa hiyo afya ya mr. Nice hapo bado mtu anajipeleka tu duuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mirembe hawana Tiba yake, huyu ni wa kwenye maombi ya nguvu.Huyu ni chizi apelekwe Mirembe ukweli ndio huo hii ya Kuombewa na tiba zingine m badala zianze baada ya kutoka Mirembe, anavyocheleweshwa kwenda Mirembe ndio matibabu yatakavyokuwa magumu kwake yaani atachelewa kuruhusiwa, ushauri wangu huo
Sent using Jamii Forums mobile app