Tumuombee msanii maarufu kwa jina la Jini-Kabula

Tumuombee msanii maarufu kwa jina la Jini-Kabula

Majina mengine yanakuja na mikosi. "JINI"! pole sana dada yetu.
 
Tatizo wasanii wetu wa kibongo ni waongo sana wanashindwa kutofautisha kati ya maisha halisi na uigizaji. Huyu unaweza kusikia kuwa ni kick tu. Tangu Salma maarufu kama Nisha asema amebakwa kumbe ilikuwa kick nimekosa imani na hawa bongo movies

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya majina au character wanazocheza huwa haziwaachi salama, yule dada aliekua kwenye nsyuka kuna siku alishuhudia kua ile filamu ilimletea magonjwa makubwa mpaka alipoombewa

Mwingine ni Saladin, aliumwa mapepo mpaka kaokoka ndiyo amepona .

Kabula ajachelewa aende kanisani atapona kabla hali haijawa kuwa mbaya, nimemuonea huruma sn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duh,i hope you overcome this mwaya Jini Kabula,

sad,

kama tuliambiwa Mungu ana mipango na sisi tangu tuzaliwe.......kwa nini wengine maisha yao yawe hivi???

Anaweza kupona akili,bado hilo lingine,,,,mmnh

hio ni mwili kuwa in auto mode,am sure atapona ila baada ya kupona,sijui ata face vipi maisha yake kama muathirika,sad.
 
si kuna dawa ile ya ukimwi imegunduliwa huko Israel................???
 
Kwa wanaomfahamu wamsaidie kumpeleka Emaus Centre kwenye kituo cha maombezi cha Kanisa Katoliki nyuma ya stendi ya mabasi ya mkoa Ubungo. Pale atakutana na watumishi ambao watamsaidia ....Yesu tu ndio tiba ...
 
JINI%2BKABULA.jpg
 
Nipo poa.. nimepumzika tu kwa sasa na kuelekea miaka 10 humu labda nitaacha kudonoa herufi niwe msomaji tu eeeeh... niliaga kule kuwa nachomoka kidogo. Ila wengine walianza ya siasa kule nayo iliniboa kiaina kuachia mapema zaidi.
rudi mkuu,,hata kama kuna tofauti za itikadi usizijali..binadamu hatuwezi kuwa sawa
 
Habarini....Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika

Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu

Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa

Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho

Sent using Jamii Forums mobile app

Ili iwe rahisi kuombewa hemu tupe Jina lake kamili, ila mimi siwezi mwombea mtu anayeitwa (JINI KABULA) not one bit ....
 
Tatizo starehe sana tena hawa bongo movie wanagawa hovyo

Sasa presha ,mstuko ,kuchanganyikiwa sababu ya kuathirika ?wakati anagawa papuchi hovyo hakufikiria hayo

Atulie zake akubali hali halisi

Na hii iwe fundisho kwa wasanii wa Bongo movie wote maana umalaya kwao ni fashion
Wewe ni Dr umempima?
 
Habarini....Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika

Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu

Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa

Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
nanukuu "" yupo kwenye matatizo makubwaa" mtoa post anashabikia matatizo au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom