Mbona kama unatusemea.. Wengi Huku ndani wanapingana na fikra zako sasa kama mtanzania naomba ujisemee mwenyewe Sio watanzania... Hivi Unajua maaana ya ukimbizi?? So sisi tulio nje ya nchi zetu ni wakimbizi???
??? Yaani hoja zako hazina mashiko kabisa... Jibu hoja, hoja ya u-nchi imeanzia wapi???
Kwa hiyo wengine walikosa sababu hawajawahi kukaa karibu na wazungu ndio tukachagua GRANNY badala ya MISS.?wewe ni wakuhurumiwa tu. hujui utendalo
Kwa hiyo wengine walikosa sababu hawajawahi kukaa karibu na wazungu ndio tukachagua GRANNY badala ya MISS.?
wa kwanza ni wewe
NImegundua mleta mada alijiung JF karibia na siku ambayo cheti cha sitti kilipatikana, inawezekana walijipanga kuwepo kote, hata huko kwenye vyeti mpo, BUT with this world mmebug meeeeen, mtaaibika na hamtasahau ujnga mliofanya. Mpelekeni kwenye mashindano ya Bibi Bomba tutampigia kura
Ndio uwezo wako wa kufikiria umeishia hapa?
wewe laki si pesa utakuwa ni msemaji mkuu wa Mtemvu foundation so sishangai jinsi unavyoonekana kutetea upuuzi kama huu. Unafanana saana na Al-Sahaff alikuyekuwa waziri wa habari wa Iraq wakati ule wa vita na marekani. Kazi yake ilikuwa ni kukanusha tu na kupindisha ukweli kwa kila kilichokuwa kinatokea... baada ya iraqi yote kutekwa bado aliendelea kukanusha tu wakati majeshi ya bush yako nyuma mgongoni mwake..Jitahidi najua hii kazi inakuingizia kula hapa mjini lkn mwisho utakimbia kimya kimya
Wekeni join date ya mleta mada,inawezekana kajiunga kwa hili la miss anko lunde.
Huyu bibi kizee aliyetwaa taji anaweza akafa kwa pressure.....Aibu