@Brainze 11 unaweza ukawa na tacho softwere? kwaajili ya millage/odometer calculating?
coz natumia digipro3 so nikitoa eeprom kwanza nikisoma napata millage zilizopo nikitaka kuandika new millage then nikiweka okey inanipa neno hili CHECK WRITEN VALUE na kiforce basi inajiandika millage tofauti na zilizokusudiwa.
na vile vile na carprog so mahesabu
Kwahiyo napata sensor mpya au ileile samahan kwa maswal mkuuHiyo sensor tunafanya Programming kwa laki 3
hilo linawezekana mkuu.unatolewa huo mfumo na unakuwa huna pressure tenaNa je nikita muitoe kabisa hiyo immobilizer si inawezekana
Kidogo nimepata mwanga Ila naomba kufahamu kuchonga funguo nyingine ya ziada je wale wachonga funguo za majumbani au kunasehemu maalumu ????
Je nikishachingesha ndo mnaweza iwekea sensor ???? Maana kagari kangu kinafunguo moja tu
Nashukuru sana MkuuNi hao hao wachonga funguo za majumban ila ni baazi yao ndo wana machine za kuchonga na funguo za magari
Sensor yenyewe inaweza kuwekwa hata kabla funguo haijachongwa