Tuna fanya programming ya funguo za magari

Tuna fanya programming ya funguo za magari

@Brainze 11 unaweza ukawa na tacho softwere? kwaajili ya millage/odometer calculating?

coz natumia digipro3 so nikitoa eeprom kwanza nikisoma napata millage zilizopo nikitaka kuandika new millage then nikiweka okey inanipa neno hili CHECK WRITEN VALUE na kiforce basi inajiandika millage tofauti na zilizokusudiwa.

na vile vile na carprog so mahesabu
 
Karibuni katika ofisi yetu mpya,imeanza kufanya kazi,wasiliana nasi kwa maelezo zaidi
3effabaab5047b6e348db5b7d7246d12.jpg
 
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya zaida au funguo umepoteza tunafanya Programming kwa bei nafuu. Pia kama kasha la funguo limechakaa unahitaji kubadili wasiliana nasi
SIMU:0714704097.
Email:info@wakudesahrt.com
Website:www.wakudesahrt.com
 
Sawa nimekuelewa nina toyota wish fungui yake ilikuwa na sensor sasa imevunjika vunjika ile sensor sasa mnanisaidia vip maana funguo ya kawaida haiwez kuwash
 
Sawa nimekuelewa nina toyota wish fungui yake ilikuwa na sensor sasa imevunjika vunjika ile sensor sasa mnanisaidia vip maana funguo ya kawaida haiwez kuwash

Hiyo sensor tunafanya Programming kwa laki 3
 
Mkuu nahitaji funguo yangu ya toyota runx iwe na remote ya kufungua milango.
Je inawezekana?
 
Kidogo nimepata mwanga Ila naomba kufahamu kuchonga funguo nyingine ya ziada je wale wachonga funguo za majumbani au kunasehemu maalumu ????
Je nikishachingesha ndo mnaweza iwekea sensor ???? Maana kagari kangu kinafunguo moja tu
 
Kidogo nimepata mwanga Ila naomba kufahamu kuchonga funguo nyingine ya ziada je wale wachonga funguo za majumbani au kunasehemu maalumu ????
Je nikishachingesha ndo mnaweza iwekea sensor ???? Maana kagari kangu kinafunguo moja tu

Ni hao hao wachonga funguo za majumban ila ni baazi yao ndo wana machine za kuchonga na funguo za magari

Sensor yenyewe inaweza kuwekwa hata kabla funguo haijachongwa
 
Ni hao hao wachonga funguo za majumban ila ni baazi yao ndo wana machine za kuchonga na funguo za magari

Sensor yenyewe inaweza kuwekwa hata kabla funguo haijachongwa
Nashukuru sana Mkuu
Sensor ya brevis bei gani mkuu
 
Back
Top Bottom