Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukienda kwenye vyombo vya sheria na hata ikitokea umeshinda kesi hutolipwa! Believe Me hii ni Tanzania sio nchi zingine....Wadau naamini kampuni za simu zitafidia vifurushi vyetu vilivyo kwisha bila kutumika ipasavyo baada ya mitandao ya kijamii kuzimwa ambapo ndio hutumia asilimia kubwa ya matumizi ya vifurushi data
Cha kwanza tuombe turudi kwenye maisha yetu ya kawaida, maana inawezakana aliye-code hiyo kitu amepoteza kumbukumbu ya alichokifanya.Wadau naamini kampuni za simu zitafidia vifurushi vyetu vilivyo kwisha bila kutumika ipasavyo baada ya mitandao ya kijamii kuzimwa ambapo ndio hutumia asilimia kubwa ya matumizi ya vifurushi data