Tuna jambo letu wadau wa sekta ya afya

Tuna jambo letu wadau wa sekta ya afya

f0c50b31-e409-41d8-a505-aaf2d7b71688.jpg

Asante
 
Maji yale yenye chemicals kutoka migodini yanapoingia ziwa victoria na tunakula samaki wa ziwa hilo
madhara yake ni nini
inasemekana kansa ni kubwa sana kanda ya ziwa, nini chanzo
tafuteni hela mfanye utafiti wa hivyo vitu
 
Back
Top Bottom