unaweza ona hii post ni mzaha but avata hapa jf inacheza nafasi kubwa imagine mwanakijiji aweke avata kama ya gaijin.
hajafanya kitu ila tu inaendana na michango yako itakua kituko howeva akiiweka mwanakijiji.
Sometimes hata majina. Kuna mtu ana ID Mwendawazimu. akipost kitu kila mtu anamwambia ni kwa sababu wewe mwendawazimu...
Itakuwa kituko sasa lkn sio kama angeiweka mwanzo yeye ingekuwa molded na jina lake.
Japo kuwa sielewi utafananisha vipi Mwanakijiji aweke Avatar yenye picha ya mwanamke
usizunguke sana hapo nilipo bold maneno yako ndo maana yake na pili uko na vitabu hapo ambavyo vinaonesha vimekushinda picha ambayo
haiendani na mwanakijiji.
Dahhh
Hii thread imekaa
Kiumbea na kusema watu..
Haya
Happy weekend Tuko..
Vimenishinda eee .......kweli hata kusoma picha ni tabu kwa watu wengine.
Hiyo avatar imeandika bookworm certified ....
unfortunately a bookworm so disorganized where as kwa mwana kijini you picture him reading a single book at a time akiwa na pipe mdomoni
huku kavaa msuli na kaketi kwa raha zake kwenye mkeka huku akisikiliza aljazera.
Haya mkuu...But fahamu watu wanatumia ID' na Avatar za ajabu ili kuficha their true identities! Wewe utabaki unafanya imaginations zakoWe sio zezete bana, hilo kila mtu anajua. Lakini avatar yako..... duh! Sorry....
Whatever floats your boat girl
Avatar yako hata sijui inafananaje.Alafu if i may ask....inakuaje unasema ulichoandika hakina ukweli ika matokeo yana ukweli?!BTW kama ungekua umenisoma vizuri ungegundua kwamba nimejibu kimzaha kama post yako ilivyokaa...Lizzy naona unajibu siriaz sana. Ukweli nikuwa hii topic haina ukweli, but kwa kuangalia avatar yangu ilivyo siriaz, umedhani namaanisha... lol
Mtoa mada mbona hujiamini hivyo? Hebu tetea hoja yako bana acha mambo ya kutuvuruga akili.. mara sijui unatania.. mara sijui nini.. kama ni utani una jukwaa lake au sio..
Heeheh labda.Ila kufuata mkumbo ipo hata mimi nimeshaona sema tu haikua mie nliefuatwa!!najua hua unajibu binafsi but una influensi tokana na mchango wako mwingi kua positive hivyo yule mwenyewe hana upambanuzi anaangila lizzykajibu nini anaka hua upande.
Haya mkuu...But fahamu watu wanatumia ID' na Avatar za ajabu ili kuficha their true identities! Wewe utabaki unafanya imaginations zako
Heeheh labda.Ila kufuata mkumbo ipo hata mimi nimeshaona sema tu haikua mie nliefuatwa!!