hayo yote naelewa lakini ujue kua katika hizi id zote kuna zile zana run sana mimi hapa zizungumzi zile zina miaka 3 post 150 nazungumzia id kama
za akina afrodenzi, lizzy, mwanakijiji, n.k. na hii ya name calling isha wahi nipa burn mara mbili bahati mbaya sana i speak my mind.
Yaani we umenichekesha sana, umenifanya nirudie kuangalia avetar za hao uliowataja na wengineo, sasa sisi tusio na avetar tunachukuliwaje? hebu nisaidie hapo
BTN lines, burn x2, join 15june 2011! Umekuja kivingine???
Mi huwa nabadili avatar almost kila siku asubuhi, depending na mood ya siku hiyo...
Great thinkers:
TUKO = ROMANCE (Same Person)
Wikiend Njema!
Romance, am I you?
Kama umeona post zangu za kwenye siasa asubuhi ile ungeelewa. Hata ivo baadae waliniboa, nakaamua kuja kubadili mood humu...
hafadhali inaendana na mada umejileta hio avata yako hapo inaonesha unafikiria ngono kila sa na ni mtu huna mawazo katika mada kabisa
hivyo kujaribu kutafakari kwa kutumia dudu kako badala ya mawazo.
Avatar yangu je??? Kikacherooooooo
Hahahaha....hivi ndivyo nnavyoonekana kweli?!acha avata maneno yake tu makali alafu bahati mbaya tayari unamgwaya.
Punguza munkari mama... This is weekend...
Hahahaha....hivi ndivyo nnavyoonekana kweli?!