Kwenye sherehe nyingi za uapisho wa Rais kwa nchi za Kiafrika vyama pinzani toka nchi mbalimbali huwa ni nadra kualikwa.
Rais wa Zambia Mh. Hakainde Hichilema amevunja mwiko kwa kuvialika vyama pinzani toka nchi mbalimbali za Afrika kuhudhuria uapisho wake!
Nchi nyingine Afrika walienda na Viongonzi Wa Vyama vya Upinzani Tofauti na Tanzania Ambapo Rais Wa Nchi aliongozana na Viongonzi Wa Chama Chake Tu CCM.