ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ni ajali ya kusikitisha iliyochukua roho ya mama na mtoto wa miaka minne kwa gari yao kuserereka katika pantoni waliokua wakivuka.
Gha kusikitisha zaidi gari ile ilielea kwa takriban dakika ishirini mwishowe kuzama taratibu na kufunikwa kabisa na maji huku hakuna jitihada zozote zilizochukuliwa na mamlaka husika huko.
Cha kujifunza hapa ni wajibu wa vikosi vya uokoaji huwa wanafanya nini au wanasubiri kuokoa nini?
Kwa ushauri wangu kwa watu wa port Dar na hata Mombasa wajenge rescue centre jirani na sehemu wanaposhukia na kupandishia abiria kwa pande zote.yaani mfano hapa Dar ijengwe upande wa kigamboni na nyingine upande wa inland soko la ferry.katika vituo hivyo kuwe na ma divers wa kutosha hata kama ni 50 kuwe na Powerful cranes,Chains na hook za urefu na ukubwa mbalimbali,wajenge mashine kubwa zenye kuweza kuvuta kitu kizito kwa kutumia strong chains au hata zile kamba nene za marine,Kuwepo Rescue boats hata 6 na ambulances,wawe na taa za kutosha zenye mwanga mkali,ambazo zaweza kuwa movable.
Kwa kuwa na vituo kama hivi ambavyo vitakuwa 24hrs/7days a week hakika vingeokoa maisha ya wengi.
Tatizo afrika huwa hatuko aware na masuala ya Safety sijui kwanini..wenzetu walioendelea huwa wapo makini mno na usalama.kwa muda fulani niliokaa nje huwa nayaona mapungufu mengi sana hasa ya kiusalama hupenda kutoa ushauri lkn cjui wapi pa kutoa ushauri.
Ben. 0716399767
Gha kusikitisha zaidi gari ile ilielea kwa takriban dakika ishirini mwishowe kuzama taratibu na kufunikwa kabisa na maji huku hakuna jitihada zozote zilizochukuliwa na mamlaka husika huko.
Cha kujifunza hapa ni wajibu wa vikosi vya uokoaji huwa wanafanya nini au wanasubiri kuokoa nini?
Kwa ushauri wangu kwa watu wa port Dar na hata Mombasa wajenge rescue centre jirani na sehemu wanaposhukia na kupandishia abiria kwa pande zote.yaani mfano hapa Dar ijengwe upande wa kigamboni na nyingine upande wa inland soko la ferry.katika vituo hivyo kuwe na ma divers wa kutosha hata kama ni 50 kuwe na Powerful cranes,Chains na hook za urefu na ukubwa mbalimbali,wajenge mashine kubwa zenye kuweza kuvuta kitu kizito kwa kutumia strong chains au hata zile kamba nene za marine,Kuwepo Rescue boats hata 6 na ambulances,wawe na taa za kutosha zenye mwanga mkali,ambazo zaweza kuwa movable.
Kwa kuwa na vituo kama hivi ambavyo vitakuwa 24hrs/7days a week hakika vingeokoa maisha ya wengi.
Tatizo afrika huwa hatuko aware na masuala ya Safety sijui kwanini..wenzetu walioendelea huwa wapo makini mno na usalama.kwa muda fulani niliokaa nje huwa nayaona mapungufu mengi sana hasa ya kiusalama hupenda kutoa ushauri lkn cjui wapi pa kutoa ushauri.
Ben. 0716399767