MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Alishabab wamejificha naogopa mambukizi kuliko risasi maana wakaiambukiza wataangamia wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yatakoholeana huko...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishabab wamejificha naogopa mambukizi kuliko risasi maana wakaiambukiza wataangamia wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi umesoma ukaelewa,hata hapa kuna hospitaly ngapi yenye vifaa vya kupambana na corona?yenye ventilators ya kutosha?Muda wote wasomali wamewekeza kwenye vita badala ya maendeleo.
Haya ndio matokeo yake sasa.
Sikiliza uelewe kinacho zungumzwa,ni hospitaly pekee yenye uwezo wa kupokea wagonjwa wa corona,na ina vtanda ya ICU 21 na tanzania nzima kuna vitanda 38 ya icu kwa taarifa yako.Muda wote wasomali wamewekeza kwenye vita badala ya maendeleo.
Haya ndio matokeo yake sasa.
Kwani kenya siyo kwao pia,kwa taarifa yako wasomali wana mikoa minne ndani ya kenya na ni kabila lenye ardhi kubwa kenya inaitwa northeastern na wana jumla ya wabunge 12.hivyo jifunze historia.wasomali wanaishi nchi 4 na wana ardhi na ni raia kama kabila zingine ethiopia,somalia,djibuti na kenya.Nani kawakata kwenda kulipa kwao. Ni Canaan walifika!.. 🤣🤣