shamika
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 200
- 26
Sasa katika mgogor huu imefikia hatua ananitamkia mbele ya uongoz wa baraza la kata kuwa nanukuu "utakufa vibaya juu ya eneo hili " mwisho wa kunukuu.
Je msaada wa kisheria nikamfungulie kesi au tatizo ninaloliona ni kuwa mashahidi wanaweza kunigeuga kwani ni watu wake.
Nifanyeje?
Je msaada wa kisheria nikamfungulie kesi au tatizo ninaloliona ni kuwa mashahidi wanaweza kunigeuga kwani ni watu wake.
Nifanyeje?