Tuna mtoto wa mwaka 1 na miezi 3 tayari mke wangu ana ujazito. Nisaidieni mawazo

Kitoabu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
10,677
Reaction score
11,768
Kama kinavo jieleza kichwa cha habari hapo juu.

Elimu ya uzazi wa mpango imenipita mbali hivyo upo uwezekano nikaaharibu future ya maisha yangu.

Kwa mwenye utaalam anielimishe, nisije kurudia tena kosa hilo.
 
Kwa hiyo spidi, jiandae kwa chain ya watoto..au vinginevyo ondoa hizo korodani
 

Attachments

  • 1443265398806.jpg
    30.7 KB · Views: 615
Sioni tatizo kwakua makosa yameshafanyika jitahidi lishe bora kwa Mtoto na mama pia ila wakati mwingine muwe wangalifu tu.
 
Elimu ya uzazi wa mpango hutolewa bure ktk kliniki yoyote ya wajawazito hapa Tz,
 
Usijali mkuu mi Wa kwangu miezi saba tu mimba cn namna do go anapiga msosi mseto mixture maziwa ya ngombe maisha yanaenda.
 
Hakuna makosa hapo. Zamani tulizaliwa watoto tunapishana miaka miwilimiwili. Maana yake ni kuwa, mtoto alipokuwa na mwaka mmoja na robo mpaka miwili, basi mimba nyingine ilitungwa.

So kinachotakiwa hapo ni kumshauri namna ya kufanya.
 
Sioni tatizo kwakua makosa yameshafanyika jitahidi lishe bora kwa Mtoto na mama pia ila wakati mwingine muwe wangalifu tu.
Tatizo mtoto wetu hapendi kula, zaidi ya ziwa la mama yake nakidogo uji (kwa mbinde) .

Sasa haiwezi kumletea matatizo tukimuachisha ziwa.

Kuna wazo linaniambia nibora kutoa, lkn najiuliza itakuaje tukitoa arafu muda si mrefu ikaingia nyingene? Ndio maana nimeona nibora nipate eliminate ya Uzazi wa mpango wenda ikani saidia.
 
Hadi huyo mtoto anatoka huyu wa sa hivi si atakua anachezea miwili kabisa.. Hakuna mbaya hapo unless ulitaka wapishane 3+ years
 
Iko Poa hiyo, mnalea kwa mpigo na mabinti wa kazi wanavosumbua kwa ss, mkilea mmemaliza
 

Wazo lakutoa ujauzito achana nalo kama Mtoto hapendi kula atazoea taratibu taratibu kwanza huoni endapo mtapata huyo Mtoto mwingine mtawalea wote kwa pamoja.
 

Mkuu usiwaze hata mm niliwaza kama ww kuitoa il a niliomba shauri mbalimbali nikaamua kuiacha pia ni dhambi kubwa kiumbe hicho huenda akaja kuwa raisi kama magufuri,kuna doctor. Niliwacliana akanishauri nimpe do go dawa Moja inaitwa Appeton do go ndani ya siku 3 mpaka Mimi sili msosi anaokula hiyo dawa itamsaidia sana
 
Usijali mkuu mi Wa kwangu miezi saba tu mimba cn namna do go anapiga msosi mseto mixture maziwa ya ngombe maisha yanaenda.
Mkuu, jana tulikua tunashauriana cha kufanya na Sehem wako (Bila fact zozote kuhusiana na swala hili) jambo kubwa tulilokua tunaogopa ni kuharibu mtoto wetu tulionae.

Kwanza mtoto wetu sio mlaji kabisa, zaidi ya ziwa la Mama yake labda uji, tena kwa mbinde.
 
MPE hiyo dawa baada ya Siku tatu tuletee majibu
 
Hakuna makosa hapo. Zamani tulizaliwa watoto tunapishana miaka miwilimiwili. Maana yake ni kuwa, mtoto alipokuwa na mwaka mmoja na robo mpaka miwili, basi mimba nyingine ilitungwa.

So kinachotakiwa hapo ni kumshauri namna ya kufanya.
Mkuu vipi ukuaji wa mtoto wetu huyu tulie nae, hatuwezi kuuwathiri?
 
Mkuu vipi ukuaji wa mtoto wetu huyu tulie nae, hatuwezi kuuwathiri?

Mwachishe mapema hata mm lilinisumbua hilo mwanzoni utamwonea huruma jitahidi maziwa ya kawaida kama utapata ya ngombe Wa kienyeji mazuri zaidi.
 
Hadi huyo mtoto anatoka huyu wa sa hivi si atakua anachezea miwili kabisa.. Hakuna mbaya hapo unless ulitaka wapishane 3+ years
Mkuu kumbuka huyu ananyonya.
Na kunamtu kinishauri kua kama nataka kuendelea na mimba basi sina budi kumuachisha ziwa huyu nilie nae.

Au haina sababu ya kumuachisha?
 
Kitaalamu maziwa ya mama ya mie 6 baada ya mtoto ndiyo bora kuliko ya miezi inayoendelea. Hivyo usitoe mkuu cha msingi mwachishe huyo ziwa fanya kutafuta maziwa ya ng'ombe wa kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…