Sioni tatizo kwakua makosa yameshafanyika jitahidi lishe bora kwa Mtoto na mama pia ila wakati mwingine muwe wangalifu tu.
Hapo mnapojadiliana ndo tayari Family planning sema kwa sheria za nchi yetu mmechelewa but unaposema Family Planning ni makubaliano ya wazazi yaani mke na mume kuhusu idadi ya watoto ambao wanawataka na watazaliwa kwa kipindi cha muda gani (interval) na kwa kutumia mbinu gani za kujikinga na mimba. Kwahiyo kinachotakiwa hapo ni kupata tu ushauri wa kiafya wa nini cha kufanya ili kiumbe kilichopo tumboni kisiathirike na from there mjipange ili isitokee hiyo changamoto. Na hiyo changamoto ikipita baadae utafurahia maisha hasa wakipita hiki kipindi cha miaka 2 baada ya kuzaliwaMkuu, jana tulikua tunashauriana cha kufanya na Sehem wako (Bila fact zozote kuhusiana na swala hili) jambo kubwa tulilokua tunaogopa ni kuharibu mtoto wetu tulionae.
Kwanza mtoto wetu sio mlaji kabisa, zaidi ya ziwa la Mama yake labda uji, tena kwa mbinde.
Mkuu kumbuka huyu ananyonya.
Na kunamtu kinishauri kua kama nataka kuendelea na mimba basi sina budi kumuachisha ziwa huyu nilie nae.
Au haina sababu ya kumuachisha?
Kama kinavo jieleza kichwa cha habari hapo juu.
Elim ya uzazi wa mpango imenipita mbali hivyo upo uwezekano nikaaharibu future ya maisha yangu.
Kwa mwenye utaalam ani elimishe, nisije kurudia tena kosa hilo.
Tatizo mtoto wetu hapendi kula, zaidi ya ziwa la mama yake nakidogo uji (kwa mbinde) .
Sasa haiwezi kumletea matatizo tukimuachisha ziwa.
Kuna wazo linaniambia nibora kutoa, lkn najiuliza itakuaje tukitoa arafu muda si mrefu ikaingia nyingene? Ndio maana nimeona nibora nipate eliminate ya Uzazi wa mpango wenda ikani saidia.
Lea mimba upate mtoto wa pili kibiologia hakuna mazara yoyote mwambie waif aendelee kunnyonyesha akimwachisha kuna hatar akapata kwashiorkor(ukosef wa protein kama tunavyojua maziwa ya mama yana virutubisho vyote)...usisikilize popular belief wanaosema mtoto ataharibika mm nakushaur kama mtaalamu wa afya(unaeza kwenda clinic ya karibu kwa elimu zaid)Tatizo mtoto wetu hapendi kula, zaidi ya ziwa la mama yake nakidogo uji (kwa mbinde) .
Sasa haiwezi kumletea matatizo tukimuachisha ziwa.
Kuna wazo linaniambia nibora kutoa, lkn najiuliza itakuaje tukitoa arafu muda si mrefu ikaingia nyingene? Ndio maana nimeona nibora nipate eliminate ya Uzazi wa mpango wenda ikani saidia.