jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Habari wanajamvi
Nchi yetu ni miongoni mwa mataifa yenye huduma mbovu za afya kupindukia
Nasema mbovu kupindukia kwa sababu nimekaa katika field hii kwa muda ingawa sio sana na kwa namna fulan nna uelewa na mambo mengi
Ili uboreshe huduma za afya kwa kiwango kikubwa ni lazima kwanza uboreshe PRIMARY HEALTH CARE kwa maana ya dispensaries au vituo vya afya vitoe huduma kwa hali nzuri to their limit hapa namaanisha kama wanatibu malaria watibu kwa usahihi sana
Namaanisha hv vituo vya afya vitoe huduma nzuri katika matibabu kulingana na hadhi yao
Lakin kwa bahati mbaya katika vituo hv hali haipo hiv.Huduma za vituo vya afya ni mbaya kuliko unavyofikiria
Taasis hizi( vituo vya afya) totally havina wataalam wa maabara kwa kiwango kikubwa wanaofanya kazi katika maabara za vituo hv ni attendant nurses.
Katika nchi kuna watu wengi wanaopoteza maisha sio kwa sababu tu siku zao zmefika ila ni kwa sababu ya huduma mbovu za afya huko mitaan hasa katika primary health cares.
Kitu kingine ni kukosekana kwa userious wa nchi yetu inawezekana vp nchi ina bodi za kumonitor taasis za afya kukawa na watu wanaofanya kazi wasio na taaluma au wasio na vibali.
Kwa mfano kwa Dar es salaam kuna vituo kibao vya afya ie dispensaries ambazo hazina usajili watu wanaofanya kazi kule sasa ni kichekesho.
Mfano wa pili ni katika jiji hili hili la Dar hospital kubwa zaidi ya 70% hazina sifa ya kuwa hospita plus wafanya kazi wake ni magumash na ndizo hospital ambazo mnaziamini sana.
Nawasilisha
Nchi yetu ni miongoni mwa mataifa yenye huduma mbovu za afya kupindukia
Nasema mbovu kupindukia kwa sababu nimekaa katika field hii kwa muda ingawa sio sana na kwa namna fulan nna uelewa na mambo mengi
Ili uboreshe huduma za afya kwa kiwango kikubwa ni lazima kwanza uboreshe PRIMARY HEALTH CARE kwa maana ya dispensaries au vituo vya afya vitoe huduma kwa hali nzuri to their limit hapa namaanisha kama wanatibu malaria watibu kwa usahihi sana
Namaanisha hv vituo vya afya vitoe huduma nzuri katika matibabu kulingana na hadhi yao
Lakin kwa bahati mbaya katika vituo hv hali haipo hiv.Huduma za vituo vya afya ni mbaya kuliko unavyofikiria
Taasis hizi( vituo vya afya) totally havina wataalam wa maabara kwa kiwango kikubwa wanaofanya kazi katika maabara za vituo hv ni attendant nurses.
Katika nchi kuna watu wengi wanaopoteza maisha sio kwa sababu tu siku zao zmefika ila ni kwa sababu ya huduma mbovu za afya huko mitaan hasa katika primary health cares.
Kitu kingine ni kukosekana kwa userious wa nchi yetu inawezekana vp nchi ina bodi za kumonitor taasis za afya kukawa na watu wanaofanya kazi wasio na taaluma au wasio na vibali.
Kwa mfano kwa Dar es salaam kuna vituo kibao vya afya ie dispensaries ambazo hazina usajili watu wanaofanya kazi kule sasa ni kichekesho.
Mfano wa pili ni katika jiji hili hili la Dar hospital kubwa zaidi ya 70% hazina sifa ya kuwa hospita plus wafanya kazi wake ni magumash na ndizo hospital ambazo mnaziamini sana.
Nawasilisha