Tuna wajibu wa kuwaelimisha Vijana wa CCM umuhimu wa kuandika Katiba Mpya

Tuna wajibu wa kuwaelimisha Vijana wa CCM umuhimu wa kuandika Katiba Mpya

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Vijana wengi hasa wa CCM wanadhani Katiba ya JMT ni mali ya chama inaamuliwa na vikao vya chama which is very wrong. Hebu angalia matamshi ya viongozi kama hawa.

Shaka Hamdu: "CCM haina agenda ya katiba mpya kwa wakati huu badala yake kipaumbele zaidi kimewekwa katika kujenga nchi kwa ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati, kupambana na umasikini".

Katibu UVCCM Morogoro: "Swala la katiba mpya sio kipaumbele kwa mkulima aliyeko kijijini yeye anawaza pembejeo, huduma ya afya, barabara nzuri, shule zenye ubora wa utoaji wa elimu n.k".

Inawezekana wako sahihi kwa upeo wao lkn tuwaambie kuwa Katiba ya JMT haina chama ni mali ya Watanzania wote ni MAMA wa sheria zote zinazoongoza nchi ni MAMA wa kanuni zote na miongozo yote na mipango yote iwe ya afya, elimu, maji, barabara, michezo na ustawi wa jamii.

Tuwaambie kuwa KATIBA bora itatengeneza mfumo mzuri wa kupata viongozi bora itatupatia mfumo mzuri wa kupata afya bora elimu bora na barabara bora.

Mtu anaposema yeye hana haja ya katiba bali anachohitaji ni maendeleo huyo mtu ni wa kuhurumiwa inahitaji kazi ya ziada kumwelimisha, hasa inapotokea mtu huyo ni kiongozi na anafanya hivyo kwa makusudi kwa lengo la kuipotosha jamii.
 
Tatizo ni siasa na wanasiasa. Wapinzania wanataka katiba itakayowasaidia kuiondoa CCM, wanaCCM wanataka katiba inayowahakikishia kuendelea kutawala.
Naamini katiba italetwa na wakati. Dalili bado ni njema:
1: Baada ya raisi kufariki, wale waliotegemea kutumia katiba hii kututawala leo wanajuta, kwa sababu yule ambaye hawakumtaka na kumdharau sasa kashika usukani na anatumia katiba ile ile waliyoitumia kuumiza wengine.

2. Utawala wa awamu ya NNE walishuhudia katiba ile ambayo hawakuipigania ipasavyo wakiamini wanamtandao wangeendelea kutawala, ikitumiwa ipasavyo na awamu ya tano na wengi waliumia.

3. WanaCCM wameshuhudia mtu waliyempigia debe na kuwa raisi wa nchi, baada ya kuapishwa anabadirika na kuwa Mungu na kulazimika kumuabudu yeye na madaraka yake. Unampigia mtu debe lakini huwi sehemu ya madaraka take.

4. Leo hii hatuombei, lakini tukimpoteza raisi ambaye kwa mfumo watu yeye ndiye kila kitu, makamu wa raisi anaapishwa, walio karibu na mama nao watabaki kubung'aa na kutoa machozi kama Sabaya.
Katiba italetwa na wakati acha Mwandambo niendelee na maisha.
 
CCM ndio waliumia zaidi na katiba mbovu kipindi cha MWENDAKUZIMU.
Kinana
Membe
Nape
JK
Masele
Paschal Mayala
Amos Makala
Mtemi Chenge
Prof.Mwandosya
n.k
Yaani Musiba alikuwa Makamu wa Rais halafu Makonda ndio Waziri mkuu...wengine wooote takataka za jalalani kama Kabudi.
 
Vijana wengi hasa wa CCM wanadhani Katiba ya JMT ni mali ya chama inaamuliwa na vikao vya chama which is very wrong. Hebu angalia matamshi ya viongozi kama hawa.

Shaka Hamdu: "CCM haina agenda ya katiba mpya kwa wakati huu badala yake kipaumbele zaidi kimewekwa katika kujenga nchi kwa ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati, kupambana na umasikini".

Katibu UVCCM Morogoro: "Swala la katiba mpya sio kipaumbele kwa mkulima aliyeko kijijini yeye anawaza pembejeo, huduma ya afya, barabara nzuri, shule zenye ubora wa utoaji wa elimu n.k".

Inawezekana wako sahihi kwa upeo wao lkn tuwaambie kuwa Katiba ya JMT haina chama ni mali ya Watanzania wote ni MAMA wa sheria zote zinazoongoza nchi ni MAMA wa kanuni zote na miongozo yote na mipango yote iwe ya afya, elimu, maji, barabara, michezo na ustawi wa jamii.

Tuwaambie kuwa KATIBA bora itatengeneza mfumo mzuri wa kupata viongozi bora itatupatia mfumo mzuri wa kupata afya bora elimu bora na barabara bora.

Mtu anaposema yeye hana haja ya katiba bali anachohitaji ni maendeleo huyo mtu ni wa kuhurumiwa inahitaji kazi ya ziada kumwelimisha, hasa inapotokea mtu huyo ni kiongozi na anafanya hivyo kwa makusudi kwa lengo la kuipotosha jamii.
Wanafahamu umuhimu wa kuundwa katiba mpya ila wanaogopa wasije wakawakwaza wakubwa halafu kibarua kikaota nyasi.Kimsingi katiba ni mali ya wananchi wote siyo mali ya chama fulani au kikundi fulani.Wanaokataa kuundwa kwa katiba mpya wanahofia kupoteza uhalali wa kuongoza nchi yetu.Kwa u limwengu wa sasa tukubali kuandikwa kwa katiba mpya.
 
CCM ina kipaji sana cha kuibua wajinga na kuwafanya kuwa wajinga zaidi”.
Çcm kwasabb ni chama tawala ina nafasi za uongozi za kuwapa watu. Hiki ndiyo chanzo cha watu kufanywa mazezeta
 
Tatizo ni siasa na wanasiasa. Wapinzania wanataka katiba itakayowasaidia kuiondoa CCM, wanaCCM wanataka katiba inayowahakikishia kuendelea kutawala.
Naamini katiba italetwa na wakati. Dalili bado ni njema:
1: Baada ya raisi kufariki, wale waliotegemea kutumia katiba hii kututawala leo wanajuta, kwa sababu yule ambaye hawakumtaka na kumdharau sasa kashika usukani na anatumia katiba ile ile waliyoitumia kuumiza wengine.

2. Utawala wa awamu ya NNE walishuhudia katiba ile ambayo hawakuipigania ipasavyo wakiamini wanamtandao wangeendelea kutawala, ikitumiwa ipasavyo na awamu ya tano na wengi waliumia.

3. WanaCCM wameshuhudia mtu waliyempigia debe na kuwa raisi wa nchi, baada ya kuapishwa anabadirika na kuwa Mungu na kulazimika kumuabudu yeye na madaraka yake. Unampigia mtu debe lakini huwi sehemu ya madaraka take.

4. Leo hii hatuombei, lakini tukimpoteza raisi ambaye kwa mfumo watu yeye ndiye kila kitu, makamu wa raisi anaapishwa, walio karibu na mama nao watabaki kubung'aa na kutoa machozi kama Sabaya.
Katiba italetwa na wakati acha Mwandambo niendelee na maisha.
Kwa yaliyotokea kama ulivyoyaekeza hapa nilitegemea kila upande uone umuhimu wa kupatikana kwa katiba mpya.
 
Back
Top Bottom