Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
- Thread starter
- #21
Kwa wale wanaoanzisha au wanaotaka kuanzisha VICOBA au vikundi vidogo vidogo vya ushirika au kukopeshana ikiwamo vya kiukoo au kifamilia, lazima kuwe na set ya sheria zinazoongoza vikundi hivyo yaani katiba.
Kwa kuwa ni vikundi vidogo vidogo vinavyoanza, nawaandikia katiba hizo na miongozo ya sheria zinazoongoza shughuli za wanachama, naandaa katiba kwa sh 60000/- katiba ya kikundi 1
0758308193
Kwa kuwa ni vikundi vidogo vidogo vinavyoanza, nawaandikia katiba hizo na miongozo ya sheria zinazoongoza shughuli za wanachama, naandaa katiba kwa sh 60000/- katiba ya kikundi 1
0758308193