Tunaanza kuona sura halisi ya Man United baada ya mzuka wa Ole kuisha

Tunaanza kuona sura halisi ya Man United baada ya mzuka wa Ole kuisha

Chanzo cha dharau ni kuwa Gunners walipumguza kasi ya kukuza yosso wa Uingereza. Hata timu ya kwanza haina waingereza wa kutosha ndio maana unaona Tottenham anapata support fulani hivi na media.
Sasa waienglish hawabebeki,mzee Wenger alipambana sana,kina Walcott wakaishia kuandikwa tu magazetini
 
Sasa waienglish hawabebeki,mzee Wenger alipambana sana,kina Walcott wakaishia kuandikwa tu magazetini
Jana Chelsea wameanza akina Loftus Cheek na Hudson Odoi, umesikiliza compliments alizopata Sarri. Media wanasema hiyo ndio Chelsea list of their dreams. But reason behind ni inclusion of the English players kwa kuwa wanapata play time kwenye national team.
 
Jana Chelsea wameanza akina Loftus Cheek na Hudson Odoi, umesikiliza compliments alizopata Sarri. Media wanasema hiyo ndio Chelsea list of their dreams. But reason behind ni inclusion of the English players kwa kuwa wanapata play time kwenye national team.
Wainglishi buana wanapiga promo sana ya wachezaji wao japo wengi vilaza
 
Man U wamebaki wanauza jina tu. Nani hajui kuwa Solkjaer hana uwezo wa kuifundisha timu "Calibre" ya Man U?

Nina uhakika hata top four hawawezi kuingia na hata "Quality" ya wachezaji walionao sio wa kuwaweka top four. Hata mechi ijayo na West Ham wata-struggle sana kushinda.
 
Back
Top Bottom