Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Kwanza natoa pongezi kubwa kwa timu ya yanga kwa kutuwakkilisha katika mashindano hayo na pia wa kufa kishujaa. TP Wazembe walishinda kwa taaaaaabu sana jana vigoli 3 tu dhidi ya Gugoli Gumoja gwa Wanga.
tumefurah kuwa kkwa mara nyingine tena yanga imeonesha ilidhamilia sana kupanda ndege na wamepanda ipasavyo hivyo wanastahii pongezi. tunawapa pongezi kubwa kwa ushiriki wao wa kila mara kwenye makombe haya ya kimataifa.
je Wanga Afrika wanarudi lini? tunataka kwena kuwapokea kwa maandamano ya amani kwa namna ambavyo amefungwa lakini kwa mbiiiiinde sana. mashujaa wwetu hawa wa tanzania.
tumefurah kuwa kkwa mara nyingine tena yanga imeonesha ilidhamilia sana kupanda ndege na wamepanda ipasavyo hivyo wanastahii pongezi. tunawapa pongezi kubwa kwa ushiriki wao wa kila mara kwenye makombe haya ya kimataifa.
je Wanga Afrika wanarudi lini? tunataka kwena kuwapokea kwa maandamano ya amani kwa namna ambavyo amefungwa lakini kwa mbiiiiinde sana. mashujaa wwetu hawa wa tanzania.