Tunachohitaji hapo ni majibu (Engineer, Mbunge, Mganga Mkuu, Afsa Ardhi, RPC)

Tunachohitaji hapo ni majibu (Engineer, Mbunge, Mganga Mkuu, Afsa Ardhi, RPC)

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Sina utani wala hapa sijaja kucheza chama kimenituma na moto ni ulele tu.

Tunachohitaji hapo ni majibu (Engineer, mbunge, mganga mkuu, afsa ardhi, RPC).

Mbunge jimboni kwako vipi miradi mbona haikamiliki.

Mganga mkuu jengo la mama na mtoto litaisha lini.

Afsa Ardhi kesi ya huyu mama umewahi kuisikia.

RPC hawa jamaa kesi yao ilikuwaje

Tunahitaji majibu

Hawa wananchi wapo hapa wanahitaji majibu.
 
Sina utani wala hapa sijaja kucheza chama kimenituma na moto ni ulele tu.

Tunacho hitaji hapo ni majibu (Engineer, mbunge, mganga mkuu, afsa ardhi, RPC).

Mbunge jimboni kwako vipi miradi mbona haikamiliki.

Mganga mkuu jengo la mama na mtoto litaisha lini.

Afsa Ardhi kesi ya huyu mama umewahi kuisikia.

RPC hawa jamaa kesi yao ilikuwaje

Tunahitaji majibu

Hawa wananchi wa Arusha wapo hapa wanahitaji majibu.
Ukimaliza unasepa zako wala hurudi nyuma, wanyonge wanakupigia makofi imeisha hiyo.
 
Sina utani wala hapa sijaja kucheza chama kimenituma na moto ni ulele tu.

Tunachohitaji hapo ni majibu (Engineer, mbunge, mganga mkuu, afsa ardhi, RPC).

Mbunge jimboni kwako vipi miradi mbona haikamiliki.

Mganga mkuu jengo la mama na mtoto litaisha lini.

Afsa Ardhi kesi ya huyu mama umewahi kuisikia.

RPC hawa jamaa kesi yao ilikuwaje

Tunahitaji majibu

Hawa wananchi wa Arusha wapo hapa wanahitaji majibu.
Asanteee. Thank you dada. Hayo ndio tunayoyategemea kutoka kwake. Pia utalii na usafi wa jiji.
Arusha mjini DC wake bado hajielewi, anadhan yeye bado ni afsa tarafa. Kaz yake anawakinda watendaji wa kata na mitaa wale wazembe na wenzie sababu ni marafiki zake. Sijui kwanini serikali haioni na kuchukua hatua za haraka.
 
Back
Top Bottom