MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Hapana Geoff am very humble and cool lady- mwulize X-pin but ukimchokoza it doesnt matter kaa umetukutanisha au lah- utapokea kibano tu my friend!nilitaka nikukutanishe na MSHIKI....nimeghairiπ
Hacra My foot!
Hivi nyamayao huyo sisy wetu kibody yukoje? Ameshindwa hata kujitutumua akashika zile balls akavuta? Napandwa na hasira kadri ninavyozidiisoma hii thread- ngoja nipumzike kwanza
MJ1 nilikuwambaiga kuhusu sis wangu wa toka nikutoke, nae yupo nai kukamilisha mambo yake ya kuhamishia watoto wake huko waliko, nae alimuuliza swali hilo hilo alimwambia"wewe mjinga sana unalia nini unainamishwa unainama tu ulishindwa kubembea na hizo naniliii zake?""..ana unene wa wastani sio wa kushindwa kukuruka, sasa cjui nae ile hali ya kumkuta mr wake pale ilimvunja joints akiwekwa hivi ye anakaa tu.....chineke ohhh.
Kwa hali kama hiyo [red/bold] hapa HAMNA NDOA - Kama walifunga ndoa ya KIDINI ni muda muafaka wa kuwaona Ma-Padri/Sheikh ili kupata suluhu ya kudumu - Bila tendo la ndoa hakuna ndoa!jamani huyu sis wangu ana matatizo ya muda mrefu na mr wake imefikia mr hampi haki ya ndoa ni miezi 9
sasa, na mr anasema anataka kuoa tena amempata blandina binti portable na virgin sio yeye sis aliemkuta kasha2mika...
That is a marriage-killer! Inahitaji upako wa Roho Mtakatifu kusamehee dhambi kama hii!" nilivyoona hivyo ikabidi na mie niwe na bfnd wa kukidhi haja yangu"
"...njoo hotel ile ile na room ile ile kuna mzigo nataka kukupa coz nasafiri, nimetumia no hii coz no yangu imeji block"...sis kaenda hana ajualo kufika kaingia room, anaingia tu akashangaa mlango umefungwa kwa nguvu kushangaa mfungaji ni mume wake....ugomvi mkubwa huko room, mr akamwambia kama umekuja huku ukiwa kwenye hali hii(period) ina maana huyo mtu wako unaekujaga nae hapa unampaga mchezo mwngne, sasa na me leo utanipa kwa nguvu...alifanya ya kufanya mpaka sis alizimia(ana athma)...
kila ugomvi unachanzo chake, na mara nyingi usipende kusikiliza upande mmoja, kwa nini usimfuate shemeji yako ukamuuliza na yeye kulikoni? sometimes waweza kuta ni kitu kidogo sana tena sana mpaka ukashangaa, kama jamaa hakumpa unyumba mkewe kwa miezi tisa yawezekana kuna kitu hapo katika tendo la ndoa walikosana jaribu kudadisi utaupata ukweli.Pengine alimtakia maneno mabaya wakati wa tendo, au nii mvivu, huwezi jua nini kilitokea. MFANO mimi hupenda sana kumfikisha mwenza wangu kwanza, namwacha kama dk 5 apumzike halafu mie ndo humaliza. hii ilikuja baada ya siku moja kmaliza kabla yake alinisema siku nzima toka that day sasa kimehamia kwake sasa akishamaliza yeye anakuwa hoi bin taaban, anaomba mchezo uahirishwe mpaka baadaye, kweli mie hujawa na hasira na mie nakasirika lkn always i try to reason kwamba after all she is my wife, she needs TLC (Tender Love "N" CARE). sasa vitu kam hivi kama si mwelewa ugomvi utaanzia hapo hapo mwanamke gani huniridhishi, ukimaliza weye tu basi hutaki tena, matusi kibao, mwishowe unaanza tafuta ka binti nje eti kakukate kiu, huko nako una end up na frustrations tu. so MUULIZE vizuri huyo your sis' aseme UKWELI
chimunguru, hiki kitu ni kigumu sana kwa upande wangu, ctaki kujua ya upande wa pili wala kama sis anasema uongo au laa, maadam familia yake(mama&baba) wameshaingilia kati bac watayamaliza wao wenyewe wakishirikiana na mwanao.....
misezi wako ni yupi?π
halafu hongera leo hujaandika ki-blurei nimekuelewa sanaπ
[B said:Nyamayao[/B];804986]mr wangu nikikuambia wkend yangu ilikuwa mbaya sana .
Hapana Geoff am very humble and cool lady- mwulize X-pin but ukimchokoza it doesnt matter kaa umetukutanisha au lah- utapokea kibano tu my friend!
Hapana Geoff am very humble and cool lady- mwulize X-pin but ukimchokoza it doesnt matter kaa umetukutanisha au lah- utapokea kibano tu my friend!
Si ajabu na kashfa zote hizo akiwa na mwenzie hamridhishi basi tu tunawafichia siri sana hawa ingawa bado wanajiona vidume!!nauliza hivi, huyo mwanaume yeye alikuwa bikra wakati anamuoa huyo dada? au haki ya kutokuwa bikra wanayo wanaume tu? what an idiot he is!
Hapo ndipo mkiamuaga kutudhalilisha huwa mnatupatia. Enzi hizo kuna siku nilikamata baamedi flani. Mzee mzima nilijituma mpaka tone la mwisho. Asubuhi namkatia mshiko akanambia hautoshi. Nikamwambia sina. Hahahaha! Hapo ndipo alipoifyatua hilo rungu lenu! Mshiko ungekuwa wa uhakika angenifagilia vibaya! Nyie watu nyie!Si ajabu na kashfa zote hizo akiwa na mwenzie hamridhishi basi tu tunawafichia siri sana hawa ingawa bado wanajiona vidume!!
tell 'em!Si ajabu na kashfa zote hizo akiwa na mwenzie hamridhishi basi tu tunawafichia siri sana hawa ingawa bado wanajiona vidume!!