kivipi?? unampango wa kutumia lugha kali kwani?
afu hiyo signature yako mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! ngoja niishie hapo pia nsije nikakuvunjia swaumu yako bure....ila ni mbaya!!
Si ndo mana nikalivua kaka? Nisijepata murder case bure!!
Fanya kuipotezeya babu hujaiona lol
Tatizo miwani yako Babu yangu inaona mpaka visivyoonwa!!
Hahahaha! Mamushka ile ndo safi kwa kunywea ile supu yako!
Fide raha ya kumfumania mtu wako itoke wapi bwana weeee!!! wengine mioyo yetu hawezi kuhimili vishindo hukawii kukolapsi ila sema mtiti wake ukizinduka hapo sasa....Utajisikiaje ukifumaniwa wewe?
Raha kumfumania mwenzio lakini ishu inakuja kwako sasa lol inakuwa balaaaaa
Fidel kama wewe uko safi wala huwezikuwa na wasi wasi wa kufumaniwa. Jifunze kupenda mmoja na uridhike naye. Hivi hamuoni vibaya kuchovya chovya kila sehemu? Sometimes muwe mnaona vinyaa jamani ahUtajisikiaje ukifumaniwa wewe?
Raha kumfumania mwenzio lakini ishu inakuja kwako sasa lol inakuwa balaaaaa
papaushka siipendi kutoka kwa ncha ya moyo wangu....
there is something wierd I imagine when I read that.....nionee huruma basi honie-ushka!!! tchaaaa I just hate it bana itoe!!!
Fidel kama wewe uko safi wala huwezikuwa na wasi wasi wa kufumaniwa. Jifunze kupenda mmoja na uridhike naye. Hivi hamuoni vibaya kuchovya chovya kila sehemu? Sometimes muwe mnaona vinyaa jamani ah
I'm going to do the needful kwa afya yako! Just a moment please......! Like mother like son!
kwanini kujificha bwana nyakati za shida.........
am singing ujue
wapi B wa ukweli aninogeshee na 'ogani' jamani...
kwanini kujificha bwana nyakati za shida.........
am singing ujue
wapi B wa ukweli aninogeshee na 'ogani' jamani...
Si umeona? Mi huwa sikuangushagi. Na hata ukianguka kwa bahati mbaya nakuinua.
...!ππB wa ukweli I here for you! ipo A Major hiyo tunasemaga B! hapa vidole vinatembea tu!
B wa ukweli I here for you! ipo A Major hiyo tunasemaga B! hapa vidole vinatembea tu!
...!:d:d
...!ππ
aaaah sasa ya kusahihishana hata spelling zilizomisiwa bahti mbaya.......
hahaaaaaaaaaaa umenikumbusha Prof mmoja ukikosea spelling anakata alama
mwisho wa siku utajiju kama sio sup..........
B wa ukweli unadhani huyo kaona spelling au the missed word? yeye amechukua context...kwamba I am here for you, haamini amini! sasa sijui tumsaidieje?ππ