Tunaelekea wapi?

Tunaelekea wapi?

mie nimekata tamaa ya maisha sana, nipo nipo tu ili mradi cku zisonge, yana maisha yana mambo mengi mno jamani......


kukata tamaa ya maisha siyo solution .kilichobaki wewe muombe mungu wako kwani yeye anaweza yote.
napiya kumbuka malipo ni hapa hapa duniani
 
BLUE: Mbu najua inavyouma na ingetokea kama ulivyoiweka nadhani ningeombea na mimi'iote' japo kwa wakati huo nimshughulikie nayo huko kwenye tigo yake. Je hii story ingekuwa kuwa kamfumania mume wake akamkodishia mibaunsa imshughulikie kwa zamu? Mngeelewa kuwa kufumania kunauma?? Hivyo adhabu mngeikubali?
kwangu mie nadhani ctaumia njia ya namna hiyo...nita spy makazi yao ya kupata moja moto moja baridi ndio nikaaribie huku, yaani kitu live live, baada ya hapo ndio kila mtu atafikiria kama anahitaji kuendelea na ndoa au laaa, tutapeana likizo ya muda.
Si ndo mana nikalivua kaka? Nisijepata murder case bure!!
Fide raha ya kumfumania mtu wako itoke wapi bwana weeee!!! wengine mioyo yetu hawezi kuhimili vishindo hukawii kukolapsi ila sema mtiti wake ukizinduka hapo sasa....

Mnaona?
sote tunazungumza lugha moja, 'ngeli' tu zinatofautiana 😉

...ukweli unabakia pale pale, Mke/Mume anauma bana. Mpaka siku utapofumania 'live' ndipo utapopimwa uwezo wa busara zako au makeke ya 'maruhani' yako.
 
habari zenu humu ndani, nadhani wote wazima wa afya na mmemaliza wkend salama, mie yangu ilikuwa mbaya sana tu.....
ijumaa asubuhi nilipata call kutoka kwa sis wangu( mtoto wa mamkubwa) analia tu ananiambia ndio anapanda shuttle aje kwangu, hataki kuongea kilichomcbu akidai mpaka afike, alifika mchana mr ndio alienda kumpokea me nilikuwa nina kikao job, mr akani sms kuwa dadako huku analia tu hataki kuongea lolote mpaka utakapofika...nimefika home bado analia tu nikamuacha apoe then akaniomba tuingie room anielezee....jamani huyu sis wangu ana matatizo ya muda mrefu na mr wake imefikia mr hampi haki ya ndoa ni miezi 9 sasa, na mr anasema anataka kuoa tena amempata blandina binti portable na virgin sio yeye sis aliemkuta kasha2mika...ni ugomvi kila kukicha hapo kwao..maelezo ya sis ni kwamba" nilivyoona hivyo ikabidi na mie niwe na bfnd wa kukidhi haja yangu" j5 last week mr alirudi home na ugomvi wake wa kila wakati.... mr alikuwa amesha spy akajua mke wake anatoka nje ya ndoa, kesho yake alhamic sis akiwa job akapata msg kutoka kwa aliedhani ni bfrd wake" njoo hotel ile ile na room ile ile kuna mzigo nataka kukupa coz nasafiri, nimetumia no hii coz no yangu imeji block"...sis kaenda hana ajualo kufika kaingia room, anaingia tu akashangaa mlango umefungwa kwa nguvu kushangaa mfungaji ni mume wake....ugomvi mkubwa huko room, mr akamwambia kama umekuja huku ukiwa kwenye hali hii(period) ina maana huyo mtu wako unaekujaga nae hapa unampaga mchezo mwngne, sasa na me leo utanipa kwa nguvu...alifanya ya kufanya mpaka sis alizimia(ana athma)....mr akatoweka akiona imekuwa kasheshe, alizinduka hapo akamcal frnd wake wa karibu akaenda kumsaidia akalala kwake asubuhi ndio akapanda shuttle kuja huku...nimechoka jamani...hivi hapa mtaamuaje hili suala mana mie mwenzenu nimechoka kabisa..... nimechoka mwili na roho.

Mhhh! Huu ni unyama wa hali ya juu! Hata kama umepata ushahidi kwamba mkeo naye ana nyumba ndogo ndiyo umshike kwa nguvu ili akupe nanihii!? 🙂
Huyu binti angeamua kupiga hata kelele labda ingesaidia kuepukana na yaliyomkuta.
 
Back
Top Bottom