Tunaelimishana na Tunakumbushana tu kama 'Wanamichezo Wanaojielewa' na siyo 'Wanamichezo Washamba na Majuha' waliopo Afrika na Duniani

Tunaelimishana na Tunakumbushana tu kama 'Wanamichezo Wanaojielewa' na siyo 'Wanamichezo Washamba na Majuha' waliopo Afrika na Duniani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Kaizer Chiefs ya jana na ya sasa siyo ile yenyewe kwani bado Inajitafuta
2. Kaizer Chiefs ya sasa ( ya jana ) bado inajikongoja kwa miaka / misimu karibia saba
3. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) ilikuwa na takribani Wiki moja tokea Wachezaji wajiunge kwa Pre Season
4. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) ilicheza bila ya Wachezaji wake Saba ( 7 ) wa Kikosi cha Kwanza
5. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) ndiyo Timu inayodharauliwa Kimatokeo Afrika nzima
6. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) Kocha wake Mkuu mpya Nabi amekuwa nayo kwa Siku Mbili tu Kambini
7. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) umaarufu iliyobakisha ni ya Kibiashara tu ila si ya Kimchezo Uwanjani

Vile vile......

1. Kambi ya Misri hadi sasa Kiufundi sijaona kilichofanikishwa zaidi ya bla bla nyingi na maonyesho
2. Kambi ya Misri inaonyesha kuwa Timu bado inajitafuta na huenda hivi karibuni tukaumia zaidi
3. Kambi ya Misri imejaa mno Hamasa za Kimtandaoni ila Uhalisia wake Kimaandalizi hauonekani
4. Kambi ya Misri ni ya Kuwahadaa tu Mashabiki mbumbumbu ila ingebakia Tanzania ingesaidia zaidi
5. Kambi ya Misri ni ya kuwaonyesha Mambumbumbu kuwa niko nanyi kama Tajiri wakati si kweli
6. Kambi ya Misri imejaa mchanganyiko wa Wachezaji wabovu, wanaojitahidi na waliokuja Kutalii
7. Kambi ya Misri ni ya Kupunguza tu Presha iliyopo na kuhonga Mashabiki Mazuzu wasifu wakati bado Timu ni mbovu

Hii inaitwa SINDANO TUKUKA za GENTAMYCINE na ukikwazika nazo tafuta Sumu ya Panya uikoroge unywe na Ufe kabisa.
 
Hayo mnajua nyie mambumbumbu,wao walijiamini kuwa wana timu nzuri na bora ya kuifunga Yanga mpaka wakajiandalia kabisa ubingwa.
 

Attachments

  • FB_IMG_17222042586318903.jpg
    FB_IMG_17222042586318903.jpg
    332.1 KB · Views: 4
1. Kaizer Chiefs ya jana na ya sasa siyo ile yenyewe kwani bado Inajitafuta
2. Kaizer Chiefs ya sasa ( ya jana ) bado inajikongoja kwa miaka / misimu karibia saba
3. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) ilikuwa na takribani Wiki moja tokea Wachezaji wajiunge kwa Pre Season
4. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) ilicheza bila ya Wachezaji wake Saba ( 7 ) wa Kikosi cha Kwanza
5. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) ndiyo Timu inayodharauliwa Kimatokeo Afrika nzima
6. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) Kocha wake Mkuu mpya Nabi amekuwa nayo kwa Siku Mbili tu Kambini
7. Kaizer Chiefs ya jana ( ya sasa ) umaarufu iliyobakisha ni ya Kibiashara tu ila si ya Kimchezo Uwanjani

Vile vile......

1. Kambi ya Misri hadi sasa Kiufundi sijaona kilichofanikishwa zaidi ya bla bla nyingi na maonyesho
2. Kambi ya Misri inaonyesha kuwa Timu bado inajitafuta na huenda hivi karibuni tukaumia zaidi
3. Kambi ya Misri imejaa mno Hamasa za Kimtandaoni ila Uhalisia wake Kimaandalizi hauonekani
4. Kambi ya Misri ni ya Kuwahadaa tu Mashabiki mbumbumbu ila ingebakia Tanzania ingesaidia zaidi
5. Kambi ya Misri ni ya kuwaonyesha Mambumbumbu kuwa niko nanyi kama Tajiri wakati si kweli
6. Kambi ya Misri imejaa mchanganyiko wa Wachezaji wabovu, wanaojitahidi na waliokuja Kutalii
7. Kambi ya Misri ni ya Kupunguza tu Presha iliyopo na kuhonga Mashabiki Mazuzu wasifu wakati bado Timu ni mbovu

Hii inaitwa SINDANO TUKUKA za GENTAMYCINE na ukikwazika nazo tafuta Sumu ya Panya uikoroge unywe na Ufe kabisa.
Ungemalizia kwa kuichambua Yanga. View attachment 3055991
IMG_20240728_215122.jpg
 
Hersi itakuwa anampakia mkongo na kumuhonga sana pesa ya GSM yule mlimbwende wa Kaizer. Hata hilo wazo la sijui IST Cup watakuwa walipeana vyumbani.
 
Back
Top Bottom