Tunafanya ukarabati wa sofa kwa bei nafuu

Tunafanya ukarabati wa sofa kwa bei nafuu

Lusematic

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2017
Posts
12,039
Reaction score
11,822
Habari wanajamvi....?...nachukua fursa hii kuwakaribisha wateja wote ambao watakuwa na uhitaji wa kufanyiwa repair furnitures zao,ikiwemo sofa set/single,vitanda,makabati na vinginevyo vinavyohusu furniture kwa ujumla,,

repair zetu zinarudisha furniture kuwa kwenye muonekano mpya kabisa...tunarepair kwa kiwango chenye ubora zaidi

Gharama zetu ni nafuu,tunaanzia 180,000/= na kuendelea inategemea na aina ya furniture pia inategemea na set...

kwa mawasiliano zaidi 0714988215 / 0692449416
KARIBUNI SANA LOCATION KEKO FURNITURE
PIA FURNITURE MPYA KABISA ZINAPATIKANA

NOTE:Vile vile tunaweza kuja kukurekebishia sofa set kwako kwa makubaliano au unaweza ukaleta furniture yako ofisini kwa gharama zako binafsi

1533620591_5b69316c718ea.jpg
1606308371601.png

1606308405816.png
 
KARIBUNI SANA.....tukufanyie repair ya sofa kwa ubora zaidi nakuwa mpya kabisa
images%20(3).jpg
images%20(2).jpg
344905.jpg
images%20(1).jpg
 
Habari wanajamvi....?...nachukua fursa hii kuwakaribisha wateja wote ambao watakuwa na uhitaji wa kufanyiwa repair furnitures zao,ikiwemo sofa set/single,vitanda,makabati na vinginevyo vinavyohusu furniture kwa ujumla,,

repair zetu zinarudisha furnitures kuwa kwenye muonekano wa upya kabisa...tunarepair kwa kiwango chenye ubora zaidi

Gharama zetu ni nafuu,tunaanzia 180,000/= na kuendelea inategemea na aina ya furniture pia inategemea na set...

kwa mawasiliano zaidi 0692449416 / 0714988215
KARIBUNI SANA

View attachment 1634432View attachment 1634533
View attachment 1634534
Ujasema upo wapi kamanda
 
Bravo Fundi... hongera..
Sasa Location yenu jee usafirishaji inakuwajee?
( yaani kuchukuwa nyumbani hadi kurejesha)
kuna njia mbili mkuu ambazo kama mteja unahitaji kuzifuata,,,,,
1.ulete furniture yako ofisini
2.Nije kukufanyia ukarabati sehemu ambayo unaishi ila lazima gharama zitakuwa tofauti sababu lazima vitendea kazi nibebe na nitakuwa nnje ya ofisi
 
kuna njia mbili mkuu ambazo kama mteja unahitaji kuzifuata,,,,,
1.ulete furniture yako ofisini
2.Nije kukufanyia ukarabati sehemu ambayo unaishi ila lazima gharama zitakuwa juu sababu lazima vitendea kazi nibebe na nitakuwa nnje ya ofisi
Sawa kbs.... nashukuru nitapanga Nike ofisini tuongee..
 
Back
Top Bottom