Tunafanya ukarabati wa sofa kwa bei nafuu

Tunafanya ukarabati wa sofa kwa bei nafuu

your welcome,

tukufanyie kazi nzuri
0714988215 / 0692449416
verifiedstoretz~p~B_sMHT4jPgM~1.jpg
 
Habari wakuu?
karibuni sana mjipatie huduma zote za furniture ikiwemo kufanya repair kwa furniture zilizo chakavu na pia unaweza kupata furniture mpya kabisa

0692449416
FB_IMG_16561527397324324.jpeg
FB_IMG_16561526487275952.jpeg
FB_IMG_16561527049808379.jpeg
FB_IMG_16561526888032031.jpeg
 
mninga 1M
mbao ngumu ya kawaida 450,000/=

karibu sana mkuu
Sofa za watu wawili zipo mbili,na ya mtu mmoja ipo moja..vip unaweza kudesign ziwe shape ya L sofa mkuu..na waweze kuenea watu watatu kila upande..ni bei gan?
 
Sofa za watu wawili zipo mbili,na ya mtu mmoja ipo moja..vip unaweza kudesign ziwe shape ya L sofa mkuu..na waweze kuenea watu watatu kila upande..ni bei gan?
hapo inakuwa ni changamoto kwasababu design ya sofa ni frame hivyo lazima frame niiunde upya kulingana na design unayoitaka
images%20(2).jpeg
images%20(1).jpeg
images.jpeg
 
Niwatakie siku njema ya Lugha ya kiswahili pia sabasaba njema,
karibuni sana
FB_IMG_16571815656222698.jpeg
 
KWANZA NIWATAKIE HAPPY NEW YEAR

Karibuni sana wakuu kwaajili ya repair ya furnitures na pia kujipatia furnitures mpya kabisa..
 
,370k

Karibu sana 0714988215 , 0692449416
IMG-20230313-WA0008.jpg
 
Habari wakuu karibuni sana kwa furnitures repair na new furnitures

0692449416 / 0714988215
 
Habari,anza mwaka kwa kujipatia furniture yako mpya kabisa ama tukufanyie repair nakurudi kwenye hali mpya

Karibuni sana 0714988215 / 0692449416
 
Back
Top Bottom