Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
- Thread starter
-
- #21
Muda si mrefu nimetoka kuongea na TRA kupitia namba zao zile za huduma kwa mteja.
Muhusika ananiambia kuwa wao wameshaevaluate hiyo bei kwa flat rate wanayoitambua. Ikiwa ndogo zaidi ya ile waliyoipanga then wanachukua iliyopangwa ikiwa ni kubwa zaidi waliyoipanga wanachukua hiyo bei mpya uliyokuja nayo.
Upumbavu wa karne.
Ananiambia consideration ipo katika consumer goods nyingine but sio magari na mashine nyinginezo. Aisee nikakasirika sana. Nikamuuliza so hapa nani tunamuwajibisha akasema wabunge wenu wanaotunga Sheria. Wao ndio wanaomletea commissioner na serikali sheria wao ndio watunga sheria.
Commissioner na serikali wao wanadeal na maelekezo ya hizo sheria.
Jamani tuwe serious na watu wanaokwenda bungeni jamani.
Mabadiliko yanatakiwa kuanzia bungeni pale.
Muhusika ananiambia kuwa wao wameshaevaluate hiyo bei kwa flat rate wanayoitambua. Ikiwa ndogo zaidi ya ile waliyoipanga then wanachukua iliyopangwa ikiwa ni kubwa zaidi waliyoipanga wanachukua hiyo bei mpya uliyokuja nayo.
Upumbavu wa karne.
Ananiambia consideration ipo katika consumer goods nyingine but sio magari na mashine nyinginezo. Aisee nikakasirika sana. Nikamuuliza so hapa nani tunamuwajibisha akasema wabunge wenu wanaotunga Sheria. Wao ndio wanaomletea commissioner na serikali sheria wao ndio watunga sheria.
Commissioner na serikali wao wanadeal na maelekezo ya hizo sheria.
Jamani tuwe serious na watu wanaokwenda bungeni jamani.
Mabadiliko yanatakiwa kuanzia bungeni pale.