Tunaheshimiana tu.

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Ukimkuta mpenzi wako amesimama kiasarahasara na mtu wa jinsia tofauti, mara nyingi hujitetea ,,yule ni sister/braza angu,,Tunaheshimiana, hewezi kunitaka/kunitongoza.

Swali, je unapomtongozwa au kumkubalia muwe wapenzi inamaana mnakua mmevunjiana heshima??
 
Heshima na nguo zako
bila nguo mwilin hakuna heshima.
 
Mimi nadhani heshima inakuwa haijavunjika na kinachotokea ni watu wawili kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi huku mkiheshimiana zaidi kuliko hata ilivyokuwa kabla
 
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
 
Kama wamevaa nguo poa tu lakini wakivua nguo no heshima hapo maana hata PhD uliyonayo haisomi hapo!!!
 
Kama wamevaa nguo poa tu lakini wakivua nguo no heshima hapo maana hata PhD uliyonayo haisomi hapo!!!


Kweli aisee,,hata Undertaker kumbe naye anafanyaga,,make nimem-google nikamwona mke wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…