Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Rafiki yangu aliyefunga ndoa mwaka 2006 amekuwa akijitahidi kupata mtoto bila mafanikio, Mke wake hubeba mimba kama kawaida na punde siku zinapokaribia kujifungua kiumbe hupoteza uhai! Amekwisha jaribu zaidi ya mara 3 bila mafanikio!
Uchunguzi wa hivi karibuni unaonyesha kuwa mke ana tatizo la kuwa na mfuko mdogo wa uzazi ambao hauwezi kusurport full growth ya mtoto.
Katika majadiriano likaja la kutafuta a surrogate mother! Si jambo baya na limekuwa linafanyika nchi za wenzetu, je kwetu kisheria linakubarika? Na kama linakubalika nani yuko tayari kuingia mkataba huu?
Lengo hasa la wanandoa hawa ni kupata mtoto anyetoka katika mauno yao! Nakaribisha ushauri, mawazo, na kama kuna binti ambaye yuko tayari kusurrogate kwa malipo na matunzo mpaka atakopo jifungua anakaribishwa
Uchunguzi wa hivi karibuni unaonyesha kuwa mke ana tatizo la kuwa na mfuko mdogo wa uzazi ambao hauwezi kusurport full growth ya mtoto.
Katika majadiriano likaja la kutafuta a surrogate mother! Si jambo baya na limekuwa linafanyika nchi za wenzetu, je kwetu kisheria linakubarika? Na kama linakubalika nani yuko tayari kuingia mkataba huu?
Lengo hasa la wanandoa hawa ni kupata mtoto anyetoka katika mauno yao! Nakaribisha ushauri, mawazo, na kama kuna binti ambaye yuko tayari kusurrogate kwa malipo na matunzo mpaka atakopo jifungua anakaribishwa