Tunahitaji akina Antony Mtaka wengi zaidi katika nchi yetu

Tunahitaji akina Antony Mtaka wengi zaidi katika nchi yetu

F4B

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2022
Posts
336
Reaction score
429
Taifa letu linahitaji watu wenye Kariba ya ANTONY MTAKA yule mkuu wa Dodoma wengi zaidi kama 1000 hivi ili washike nyazifa na vitengo mbalimbali serikalini.

Kwanza nikili sijawahi kumuona na Wala simfahamu na ikitokea tumekutana sehemu ambapo hakuna shughuli kubwa ya kiserikali naweza nisimfahamu kabisa.

Lakini kazi zake na maelekezo yake zikiwemo speech zake utagundua kuwa yule ni kiongozi alifaa hata kushika nafasi ya juu zaidi ya hiyo.

Hongera ANTONY MTAKA kazi yako inaonekana kwa macho bila majivuno Wala kiburi Mwenyezi Mungu akutangulie daima katika utumishi wako
 
Ninakubaliana na wewe.
Huyu mwamba hajui kujipendekeza zaidi ya kutimiza majukimu yake
 
Ukweli yuko vizuri. Ila kwa serikali yetu wazuri huwa hawadumu. Akibana kwa mtu fulani tu kama Riz1 inakula kwake
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Huwezi msikia anatajataja jina la rais kwenye kazi kwa ujumla anajal kazi zake siyo mtu wa kujipendekeza
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Taifa letu linahitaji watu wenye Kariba ya ANTONY MTAKA yule mkuu wa Dodoma wengi zaidi kama 1000 hivi ili washike nyazifa na vitengo mbalimbali serikalini.Kwanza nikili sijawahi kumuona na Wala simfahamu na ikitokea tumekutana sehemu ambapo hakuna shughuli kubwa ya kiserikali naweza nisimfahamu kabisa.
Lakini kazi zake na maelekezo yake zikiwemo speech zake utagundua kuwa yule ni kiongozi alifaa hata kushika nafasi ya juu zaidi ya hiyo
Hongera ANTONY MTAKA kazi yako inaonekana kwa macho bila majivuno Wala kiburi Mwenyezi Mungu akutangulie daima katika utumishi wako
KATIBA mpya itawaibua wengi sana walioachwa na mfumo wa kitapeli uliojengeka.

Wapo kina Nyerere, Filikunjombe, Salim Ahmed Salmu, Sokoine, Mtikila, Bibi Titi, Nelson Mandela, Sekeu toure, Mnyika, Slaa, LUKUVI, Mkapa, nk nk.

Wapo wengi sana mtaani, achana na Hawa VILAZA.
 
Taifa letu linahitaji watu wenye Kariba ya ANTONY MTAKA yule mkuu wa Dodoma wengi zaidi kama 1000 hivi ili washike nyazifa na vitengo mbalimbali serikalini.Kwanza nikili sijawahi kumuona na Wala simfahamu na ikitokea tumekutana sehemu ambapo hakuna shughuli kubwa ya kiserikali naweza nisimfahamu kabisa.
Lakini kazi zake na maelekezo yake zikiwemo speech zake utagundua kuwa yule ni kiongozi alifaa hata kushika nafasi ya juu zaidi ya hiyo
Hongera ANTONY MTAKA kazi yako inaonekana kwa macho bila majivuno Wala kiburi Mwenyezi Mungu akutangulie daima katika utumishi wako
Sawa
 
Mtaka ni mchapa kazi serious ,very serious na anapenda kazi yake ionekane sio yeye aonekane

Ni result oriented leader kuwa results ndizo zimtambulishe sio media au chawa au wapiga filimbi wa Hamelini au kujipigia debe
 
Anaweza akapata madaraka zaidi akigombea ubunge.

Asipogombea anakuwa mwoga wa siasa hivyo hatapata madaraka makubwa zaidi ya hapo. Ingawa nina wasi wasi kama PM anamtazama kwa jicho zuri, maana akigombea atakuwa anatishia cheo chake.
 
Huwa nawaza ingekuwa vipi tungekuwa na wabunge takribani mia moja (💯) hivi baadhi Yao wakawa mawaziri na manaibu waziri
 
Huwezi msikia anatajataja jina la rais kwenye kazi kwa ujumla anajal kazi zake siyo mtu wa kujipendekeza
... ukishaona kiongozi anamtanguliza Rais mbele; anatafuta kivuli cha kuficha madhaifu.
 
Hana jipya huyo mjita, media zinamu- overate, alikuwa huku Simiyu hakuna alichokifanya, kazi kubwabwaja tu, kafulila kamfunika Ile mbaya
 
Hana jipya huyo mjita, media zinamu- overate, alikuwa huku Simiyu hakuna alichokifanya, kazi kubwabwaja tu, kafulila kamfunika Ile mbaya
Jomba huu uongo unakusaidia nini wewe bazazi...hivi unaijua Simiyu kabla ya Mtaka na baada yake...kwanza unaijua Simiyu iko wapi....wewe Simiyu unakaa wapi nianze kukuchambulia Mambo.. kwa ufupi nenda kawaulize viongozi wa Simiyu kuanzia wilayani mpaka Halmashauri....halaf njoo na hoja yako ya kuchambia
 
Back
Top Bottom