KATIBA mpya itawaibua wengi sana walioachwa na mfumo wa kitapeli uliojengeka.Taifa letu linahitaji watu wenye Kariba ya ANTONY MTAKA yule mkuu wa Dodoma wengi zaidi kama 1000 hivi ili washike nyazifa na vitengo mbalimbali serikalini.Kwanza nikili sijawahi kumuona na Wala simfahamu na ikitokea tumekutana sehemu ambapo hakuna shughuli kubwa ya kiserikali naweza nisimfahamu kabisa.
Lakini kazi zake na maelekezo yake zikiwemo speech zake utagundua kuwa yule ni kiongozi alifaa hata kushika nafasi ya juu zaidi ya hiyo
Hongera ANTONY MTAKA kazi yako inaonekana kwa macho bila majivuno Wala kiburi Mwenyezi Mungu akutangulie daima katika utumishi wako
SawaTaifa letu linahitaji watu wenye Kariba ya ANTONY MTAKA yule mkuu wa Dodoma wengi zaidi kama 1000 hivi ili washike nyazifa na vitengo mbalimbali serikalini.Kwanza nikili sijawahi kumuona na Wala simfahamu na ikitokea tumekutana sehemu ambapo hakuna shughuli kubwa ya kiserikali naweza nisimfahamu kabisa.
Lakini kazi zake na maelekezo yake zikiwemo speech zake utagundua kuwa yule ni kiongozi alifaa hata kushika nafasi ya juu zaidi ya hiyo
Hongera ANTONY MTAKA kazi yako inaonekana kwa macho bila majivuno Wala kiburi Mwenyezi Mungu akutangulie daima katika utumishi wako
... including ole Sabaya, Makonda, et. al.Mtaka ni legacy ya Magufuli
... ukishaona kiongozi anamtanguliza Rais mbele; anatafuta kivuli cha kuficha madhaifu.Huwezi msikia anatajataja jina la rais kwenye kazi kwa ujumla anajal kazi zake siyo mtu wa kujipendekeza
Acha wivu mtaka ni jembeHana jipya huyo mjita, media zinamu- overate, alikuwa huku Simiyu hakuna alichokifanya, kazi kubwabwaja tu, kafulila kamfunika Ile mbaya
Huyu Mtaka huyu ndo jembe!? Mjuaji tu na hana lolote Bariadi wanamjua vizuri!A
Acha wivu mtaka ni jembe
Jomba huu uongo unakusaidia nini wewe bazazi...hivi unaijua Simiyu kabla ya Mtaka na baada yake...kwanza unaijua Simiyu iko wapi....wewe Simiyu unakaa wapi nianze kukuchambulia Mambo.. kwa ufupi nenda kawaulize viongozi wa Simiyu kuanzia wilayani mpaka Halmashauri....halaf njoo na hoja yako ya kuchambiaHana jipya huyo mjita, media zinamu- overate, alikuwa huku Simiyu hakuna alichokifanya, kazi kubwabwaja tu, kafulila kamfunika Ile mbaya