Elimu nzuri ni ile itakayofanya RAIA waanze kudadisi jui ya mambo yanayowazunguka ya kijamii,kiuchumi na zaidi kitekinolojia.Ili waweze kuanzisha gunduzi mbalimbali zikazosaidia katika kuzalisha na kutengeneza vitu.
Ukoloni imeua vipaji vya watu wetu na mbaya zaidi viongozi wetu waliendeleza model za kikoloni kwenye nyanja nyingi-kitu ambacho kinatuumiza hadi leo.
Huwezi ukawa mbunifu kwa kuwaza na kutumia lugha ya mwenzio-hili ndio jambo linalokwamisha sana maendeleo ya Africa (cultural).
Angalia tuna engineer s wengi but kuanzia Barbara zetu,machine mbalimbali,dawa za binadamu na mifugo na chanjo,bidhaa mbalimbali zote tunaagiza hatutengenezi.why?