FactUnataka wakina MOND wengi,wakati huo huo kila wimbo unaotoka mnaushindanisha na nyimbo za DIAMOND ππππ
Alikiba simple mindeMuziki wa Tanzania utakufa kama mashabiki na vyombo vya habari vitabaki kitukuza watu wawili tu. Mashabiki yawapa kutambua kuwa kuna vipaji vingi sana Tanzania na vinahitaji sapoti yao ili kuzidi kuipeperusha bendera ya Tanzania. Media zimekua chanzo cha kukuza migogoro ya wasanii mwisho wa siku tunapata ALINKIBA NA DIAMOND wawili tu kwenye muziki.
PART II...............
[emoji115] [emoji115] [emoji115] ukweli mtupuUnataka wakina MOND wengi,wakati huo huo kila wimbo unaotoka mnaushindanisha na nyimbo za DIAMOND ππππ
Una akili sanaMnataka kina diamond platnumz wengi, wakati huyu kila siku hamuishi kumsingizia mara analoga wenzake, ana roho mbaya, anadharau kila sifa mbaya mbaya mnampa yy, ili mradi mumpandishe mtu wenu, mpaka ajali ya darasa mnasema yy kasababisha, yaani kijana wa watu kila siku mnajitahidi kumkatisha tamaa ila mungu anampigania. Mkitaka akina diamond wengi lazima huyu tulie nae aheshimiwe na si kila siku kumzushia ili mumshushe kimziki.