ricktz
Member
- Jun 25, 2016
- 20
- 11
Muziki wa Tanzania utakufa kama mashabiki na vyombo vya habari vitabaki kitukuza watu wawili tu.
Mashabiki yawapasa kutambua kuwa kuna vipaji vingi sana Tanzania na vinahitaji sapoti yao ili kuzidi kuipeperusha bendera ya Tanzania. Media zimekua chanzo cha kukuza migogoro ya wasanii mwisho wa siku tunapata ALIKIBA NA DIAMOND wawili tu kwenye muziki.
PART II...............
Mashabiki yawapasa kutambua kuwa kuna vipaji vingi sana Tanzania na vinahitaji sapoti yao ili kuzidi kuipeperusha bendera ya Tanzania. Media zimekua chanzo cha kukuza migogoro ya wasanii mwisho wa siku tunapata ALIKIBA NA DIAMOND wawili tu kwenye muziki.
PART II...............